CHADEMA yetu ya mabadiliko ipo wapi?

CHADEMA yetu ya mabadiliko ipo wapi?

Ulipotea sana comrade karibu sana
Wanaukumbi,

Tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020. Sioni ile nguvu ya Chadema iliyokuwa nayo miaka kumi iliyopita, Chadema ya mabadiliko, CHADEMA ya Maandamo kila kona.

Ni kitu gani kimetokea ndani ya Chadema, kinapoelekea naona kama kitakuwa kama TLP, naona wabunge wengi wanarudi CCM na wafuasi wao bila hamna tena mshikamano wa maandamano wala matamko ambayo tulikuwa tumeyazoea.

Viongozi wa juu ebu jitokezeni kuweka sawa hili jambo, naona hata wafuasi wa Chadema humu JF wamekata tamaa hawajui nini cha kufanya.

Hivi kweli kwa hili kuna matumaini tena ya kuwa chama kikuu cha upinzani au kuchukuwa dola?
 
Naona nawewe umeamua kufuata njia za kina @wakudadavua, jingalao.

Uteuzi kwa sasa umesimamishwa maana hata mteuzi mwenyewe hana uhakika wa kusalia kwenye kiti cha uteuzi.
Wanaukumbi,

Tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020. Sioni ile nguvu ya Chadema iliyokuwa nayo miaka kumi iliyopita, Chadema ya mabadiliko, CHADEMA ya Maandamo kila kona.

Ni kitu gani kimetokea ndani ya Chadema, kinapoelekea naona kama kitakuwa kama TLP, naona wabunge wengi wanarudi CCM na wafuasi wao bila hamna tena mshikamano wa maandamano wala matamko ambayo tulikuwa tumeyazoea.

Viongozi wa juu ebu jitokezeni kuweka sawa hili jambo, naona hata wafuasi wa Chadema humu JF wamekata tamaa hawajui nini cha kufanya.

Hivi kweli kwa hili kuna matumaini tena ya kuwa chama kikuu cha upinzani au kuchukuwa dola?
 
Chadema Kumuunga Mkono Mgombea wa CCM yangu niipendayo ili kumkomoa Jasusi mbobezi.
 
Naona nawewe umeamua kufuata njia za kina @wakudadavua, jingalao.

Uteuzi kwa sasa umesimamishwa maana hata mteuzi mwenyewe hana uhakika wa kusalia kwenye kiti cha uteuzi.
@Wakudadavuwa huwezi kumuona sasa hivi maana viti maalum anajua hatakuwepo, jimbo la Songwe alilokuwa analipigia hesabu mambo yameharibika sasa yupo yupo tuu.
Mzigo watu wamefyatua sana wakipanda na kushuka kama daladala tokea enzi za mzee wa bao la mkono, Madelu hadi sasa lakini hakuna tena wa kumbeba.
Sasa ndio wanafufuka wale wazamani.
 
Wanaukumbi,

Tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020. Sioni ile nguvu ya Chadema iliyokuwa nayo miaka kumi iliyopita, Chadema ya mabadiliko, CHADEMA ya Maandamo kila kona.

Ni kitu gani kimetokea ndani ya Chadema, kinapoelekea naona kama kitakuwa kama TLP, naona wabunge wengi wanarudi CCM na wafuasi wao bila hamna tena mshikamano wa maandamano wala matamko ambayo tulikuwa tumeyazoea.

Viongozi wa juu ebu jitokezeni kuweka sawa hili jambo, naona hata wafuasi wa Chadema humu JF wamekata tamaa hawajui nini cha kufanya.

Hivi kweli kwa hili kuna matumaini tena ya kuwa chama kikuu cha upinzani au kuchukuwa dola?

Mkuu Lizaboni yupo wapi?
 
@Wakudadavuwa huwezi kumuona sasa hivi maana viti maalum anajua hatakuwepo, jimbo la Songwe alilokuwa analipigia hesabu mambo yameharibika sasa yupo yupo tuu.
Mzigo watu wamefyatua sana wakipanda na kushuka kama daladala tokea enzi za mzee wa bao la mkono, Madelu hadi sasa lakini hakuna tena wa kumbeba.
Sasa ndio wanafufuka wale wazamani.
Nasikia Madelu alipiga sana spana hiyo chombo na siku za karibuni mzee wa poronium ndiye alikuwa anajipoza
 
Ulizoea na kusahau kuwa kila masika na mbu wake, sasa komaa tu maana huwezi linganisha pwani na bara.

Sasa nj zamu yenu kujikomba ili mlinde mlicho kivuna enzi hizo mnafanya mtakalo.
Wanaukumbi,

Tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020. Sioni ile nguvu ya Chadema iliyokuwa nayo miaka kumi iliyopita, Chadema ya mabadiliko, CHADEMA ya Maandamo kila kona.

Ni kitu gani kimetokea ndani ya Chadema, kinapoelekea naona kama kitakuwa kama TLP, naona wabunge wengi wanarudi CCM na wafuasi wao bila hamna tena mshikamano wa maandamano wala matamko ambayo tulikuwa tumeyazoea.

Viongozi wa juu ebu jitokezeni kuweka sawa hili jambo, naona hata wafuasi wa Chadema humu JF wamekata tamaa hawajui nini cha kufanya.

Hivi kweli kwa hili kuna matumaini tena ya kuwa chama kikuu cha upinzani au kuchukuwa dola?
 
Watanzania tusifanye kosa la kukubali kuuwawa kwa vyama vya upinzani. Vyama hivi vipo kisheria na si vikundi vya waasi. Vyama vya siasa ni muhimu kwa ufanisi wa serikali, ndivyo vinavyoikosoa na kuifanya serikali ijirekebishe na isilale. Kumbukeni kwamba ccm walilazimika kumchagua magu kwani waliona wanakwenda kushindwa, la sivyo magu angekuwa leo hii labda ni mkuu wa mkoa tu. Hii ndiyo kazi ya upinzani, tukiacha upinzani ufe basi tegemeeni mambo yale ya zamani; zidumu fikra za mwenyekiti, fikra hizi ndizo zilizotufanya watanzania tukapitwa na wenzetu wengi tu kama Kenya, Zambia, n.k. na kubakia taifa maskini kabisa duniani. Nyerere alitambua hilo ndio maana akalazimisha tuingie mfumo wa vyama vingi kwa matarajio kwamba siku moja CCM itatoka madarakani na mambo yatabadilika. Hata Nyerere angerudi leo angeshangaa kwamba mfumo wa chama kimoja unarudi tena.
 
Wanaukumbi,

Tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020. Sioni ile nguvu ya Chadema iliyokuwa nayo miaka kumi iliyopita, Chadema ya mabadiliko, CHADEMA ya Maandamo kila kona.

Ni kitu gani kimetokea ndani ya Chadema, kinapoelekea naona kama kitakuwa kama TLP, naona wabunge wengi wanarudi CCM na wafuasi wao bila hamna tena mshikamano wa maandamano wala matamko ambayo tulikuwa tumeyazoea.

Viongozi wa juu ebu jitokezeni kuweka sawa hili jambo, naona hata wafuasi wa Chadema humu JF wamekata tamaa hawajui nini cha kufanya.

Hivi kweli kwa hili kuna matumaini tena ya kuwa chama kikuu cha upinzani au kuchukuwa dola?
Mwenyekiti wa maisha ametingwa na mengi,kisa Konyagi, mwingine anabeba mafaili huko Ubelgiji,na waliobaki wanagombeana fito.
 
Zile kauli mbiu za Pipooozi Paawaaaa!! Hamna tena daaah!
 
Kunja mikono zungusha zungusha daaah makamanda tatizo nini??
 
Wanaukumbi,

Tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020. Sioni ile nguvu ya Chadema iliyokuwa nayo miaka kumi iliyopita, Chadema ya mabadiliko, CHADEMA ya Maandamo kila kona.

Ni kitu gani kimetokea ndani ya Chadema, kinapoelekea naona kama kitakuwa kama TLP, naona wabunge wengi wanarudi CCM na wafuasi wao bila hamna tena mshikamano wa maandamano wala matamko ambayo tulikuwa tumeyazoea.

Viongozi wa juu ebu jitokezeni kuweka sawa hili jambo, naona hata wafuasi wa Chadema humu JF wamekata tamaa hawajui nini cha kufanya.

Hivi kweli kwa hili kuna matumaini tena ya kuwa chama kikuu cha upinzani au kuchukuwa dola?
Nilijua umeshayaaga haya maisha ooh karibu tena
 
Wanaukumbi,

Tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020. Sioni ile nguvu ya Chadema iliyokuwa nayo miaka kumi iliyopita, Chadema ya mabadiliko, CHADEMA ya Maandamo kila kona.

Ni kitu gani kimetokea ndani ya Chadema, kinapoelekea naona kama kitakuwa kama TLP, naona wabunge wengi wanarudi CCM na wafuasi wao bila hamna tena mshikamano wa maandamano wala matamko ambayo tulikuwa tumeyazoea.

Viongozi wa juu ebu jitokezeni kuweka sawa hili jambo, naona hata wafuasi wa Chadema humu JF wamekata tamaa hawajui nini cha kufanya.

Hivi kweli kwa hili kuna matumaini tena ya kuwa chama kikuu cha upinzani au kuchukuwa dola?
Eti maandamano kila kona.
Umelewa wanzuki?
 
Back
Top Bottom