OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,574
nimekosea nini tena ndugu yangu??
Hata mimi napata hii shida IT chadema njooniMkuu @OLESAIDIMU
Hili tatizo ni kwangu tu au na kwa wengine... maana nikifungua hiyo webpage ya sera za chama kinachoonekana ni kama hii screen shop hapachini.
View attachment 124383
Hii thread haitaguswa na yale maboga ya Lumumba
Mkiguswa penye ukweli mnaanza kuporomosha matusi. Waislam acheni kukubali kutumiwa kama KONDOM na wana siasa.
Mlitumika 1995 Kwa kuanzisha chama chenu cha CUF mkazigawa kura za Mrema Mkapa akashinda
Mkatumika 2005 kwa kukimbilia kumchagua Kikwete eti ni mwenzenu, sasa hivi maisha yanawakaanga kama wengine
Mlitumia 2010 kwa kumchagua JK na Lipumba akamsaidia JK kushinda
Mnatumika hata sasa kwa kuisema Chadema vibaya ilhali mnajua ni UONGO, eti Chadema ni chama cha wakristo.
Nyakati zote hizo mnatumika na CCM, MoU inazidi kuboreshwa na sasa ni nono zaidi, Mahakama ya Kadhi itakayogharamiwa na serikali ni ndoto, haitakuja kutokea, Waislam bado mnamadai lukuki dhidi ya unyanyaswaji mnaofanyiwa na Serikali ya CCM.
Kadhi mlioahidiwa 2010 mmefanywa kejeli na dhihaka, hakuna cha kadhi wala baba yake kadhi.
Ijumaaa ni siku ya kupiga mzigo kama kawa hakuna mapumziko wala nini wakati wenzako jumamosi na jumapili ni siku ya kushinda kwenye mabanda ya kitimoto kula na kunywa.....
Endeleeni kutumika kama kondom tu...!
CC THE BIG SHOW Ritz kahtaan Barubaru gombesugu faizafoxy Masanilo Mzito Kabwela
Hii thread haitaguswa na yale maboga ya Lumumba
kwani leo dada hatuelewani wapi jamani???!!!
Walitoa website ya watu kuchangia na wewe ukiwa mtaalamu katupiemo contrbution on those mentioned aspects ndio nilichomaanisha!!!!!
Samehe lugha please kama sikueleweka my dada!!!!!
Mnyika jumbo lako ubungo limekushinda hakuna maendeleo yoyote uliyofanya maneno tu kweli siasa ni uongo tu na huu ndio mwisho wako hatukuchagui tena katafutesha ulime
Mkuu Tuko CHADEMA mna mambo...mi ilikuwa kila nikifungua, holaa...kila nikifungua; holaaa; nikadhani kv natumia Nokia ya Kichina! Nikaazima Pc ya jirani ndo ikafunguka hiyo "Sorry, no entries found!" Nikarudi kwenye Nokia yangu ya Mchina, kwa bahati mbaya nika-click kale ka-tab ka mwisho kulia kalikoandikwa CHANGIA...ebana wee!! Mara moja tu, shwaaaa, hwaaaaa!! Page safiiiiiiii, full mautundu ya magrifiki dizaini!!"Mkuu wewe unaipata hiyo sera?
Maana kinachoonekana kwenye screen yangu ni
View attachment 124384
Mkuu Tumaini Makene kasma upo around hebu tuwekee hiyo sera hapa jukwaani...
Duh ...kumbe saa nyingine tunabishana na waliojikatia Tamaa ya kuishi humu?kwanza nisamehe mimi manake leo sijui nikoje...................
Ila to be honest my brain is not working properly, na ndo mana toka saa tisa nikaamua kushinda humu.
Nisamehe sana uzee huu sio matani lol!!
kwanza nisamehe mimi manake leo sijui nikoje...................
Ila to be honest my brain is not working properly, na ndo mana toka saa tisa nikaamua kushinda humu.
Nisamehe sana uzee huu sio matani lol!!
Duh ...kumbe saa nyingine tunabishana na waliojikatia Tamaa ya kuishi humu?
Hiyo sera imezinduliwa na chadema asili au family?
Leo tarehe 01/12/2013 Chama kimezindua rasimu ya sera mpya ya mabadiliko ya Tabia ya nchi. Akizindua Sera hiyo Mkurugenzi wa Mawasiliano na Mahusiano ya Ndani wa Chama Mh. John John Mnyika (Mb) ambaye aliambata na Katibu wa Baraza la Wanawake la Chama Mh. Naomi Kaihula, Afisa wa Sera na Utafiti wa Chama Mh. Mwita Waitara pamoja na Maafisa wengine wa Chama; Mh. Mnyika amesema CHADEMA ndio taasis ya kwanza kuzindua sera hiyo hapa nchini.
CHADEMA ndio Chama cha kwanza hapa nchini na Afrika kuwa na Sera ya Mabadiliko ya Nchi. Hata serikali yetu pamoja na kuwa Rais na Viongozi wengi wa Serikali wameshashiriki mikutano mingi kuhusu athari za Mabadiliko ya Tabia ya nchi lakini mpaka leo Tanzania haina Sera ya kukabiliana na janga hili Alisema Mnyika.
Mh. John John Mnyika
Mh. John John Mnyika
Mnyika aliongeza kuwa Rais ameshashiriki mikutano mingi akitolea mfano mkutano wa hivi karibuni uliofanyikanchini Scotland ambapo Rais alihudhuria ukiwa ni mkutanowa 19. Mikutano hiyo inayojulikana kwa jina la CORP imekuwa ikifanyika kila mwaka katika nchi mbalimbali ambapo mwaka juzi ulifanyikia Daban Afrika Kusini, mwaka jana ulifanyikia Doha Qatar na mwaka huu umefanyikia Scotland.
Mnyika ameongeza kuwa kilichozinduliwa leo ni rasimu iliyoandaliwa baada ya kukusanya maoni kwa wadau mbalimbali wakiwemo wataalam wa mazingira na sasa kitakachofanyika ni kukusanya maoni kutoka kwa Watanzania kwa muda wa mwezi mmoja na baadae Sera kamili itazinduliwa.
Sera hiyo inapatikana katika tovuti yetu katika kipengele cha Sera za Chama. Unaweza kuisoma na kutoa maoni yako kwa anuani zinazoonekana katika tovuti yetu au hapa hapa kwenye tovuti