...CHADEMA Yazidi Kung'ara, CCM Yatetemeka

...CHADEMA Yazidi Kung'ara, CCM Yatetemeka

Ama kweli,humu jamvini mna watu na viatu.Nchi hii inaliwa na wenye meno,na itajengwa na wenye moyo.
 
Hivi yule mwenyekiti wa CUF ambaye alikuwa anapandikiza chuki msikitini ili watanzania wachukiane bado nae anaaminika huku akikiri kuwa alikuwa anampigia kiongozi wa chama tawala kampeni na huku nae anagombea, msalimie
Copy and paste, Cuf ngangari, chadema ngangari kila kitu cdm ni kucopy kutoka Cuf, gazeti Tanzania daima la chadema udakuuuuuuuuuuuu
 
Hivi yule mwenyekiti wa CUF ambaye alikuwa anapandikiza chuki msikitini ili watanzania wachukiane bado nae anaaminika huku akikiri kuwa alikuwa anampigia kiongozi wa chama tawala kampeni na huku nae anagombea, msalimie
Yupi huyo, tupe faida.
 
Yaani sasa hivi ukiwaambimbia CDM huyo wanakimbia.
 
ukweli unauma sana ccm mmeshindwa kutuletea maendeleo just resign ewe mrisho na ao mashabiki wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom