...CHADEMA Yazidi Kung'ara, CCM Yatetemeka

...CHADEMA Yazidi Kung'ara, CCM Yatetemeka

Nimefanya graphical interpolation, kwa exponential function napata wabonge kama 120 kwa CDM. Hii ina maana kwamba CDM wasilale. Hii ni zaidi kidogo sana ya nusu. Ila itakuwa safi sana, Ile dioooo itaisha. Lakini kama ruswa na uizi wa kura vikizibitiwa CCM watakuwa na hali mbaya sana. Hiyo chini ya nusu ni CUF na CCM.


correct if assumption to changes based under normal Daftari bila maboresho. Cdm itaweza vuna 120 ubunge

Endapo kutafanyika maboresho weka yafutayo kama bafa na factors for advance.

a) ongeza 20% of 120 kama wazee ambao hawataweza kwenda kupiga kura tena (maafa na uzee) hii ni gain kwa cdm maana hiyo ni loss kwa ccm na cdm inavijana zaidi siyo wakongwe.

b) ongeza 25% of 120 kama gain kwa chadema kwa maboresho ya daftari, vijana wengi watajiandikisha ambao ndio hasa wataka mabadiliko.

Tunaweza kuestimate wabunge wa cdm = 120 + 0.2 x 120 + 0.25 x 120
= 174.

Endapo wataboresha daftari na kuruhusu demokrasia cdm inaweza kupata wabunge zaidi ya 174 kwa mwaka 2015
 
Ungekuwa na uelewa kidogo wa hesabu fanya hivi

Chora graph ya idadi ya wabunge kuanzia 1995 hadi 2012

-Vertially (wima) idadi ya wabunge

-Horizonally (mstari wa ulalo) miaka

a) chora ya ccm

b) chora ya cdm

Conclusion graph ya ccm inashuka/decrease wakati ile ya chadema inapanda/increase

Je unasemaje kwamba hapo hamna kitu wakati kuna positive gradient kwa cdm na negative kwa ccm?

Graph hata ikionyesha hivyo je unajua gharama mnayotumia kuwahadaa watanzania.
 
Graph hata ikionyesha hivyo je unajua gharama mnayotumia kuwahadaa watanzania.

Anayewahadaa watanzania ni ccm na serikali yake mkuu

Maisha bora kwa kila mtanzania matokeo yake hata mafuta ya taa ambayo ni kwa walalahoi yanauzwa kama petrol

Elimu tuna boresha hivyo hivyo ukichora graph inaoonesha itatouch zero to infinity 90% failue huoni aibu mkuu????

Afya tunaboresha, ndiyo kwanza sasa hivi hospitali za serikali hata kipima malaria kimeadimika

Je unaweza kutuambia kwa kukosa tiba bora ccm na serikali yake inasababisha maafa mangapi kwa watanzania?

wewe jikombe na kujipendekeza huko ccm kwa wezi na majambazi nduguzo na wanaukoo wako wanadhalilika huko

vijijini ambako elimu na afya bora havipo wala ndotoni hawavipati zaidi ya mitishamba na shule zisizo na walimu wala

vitendea kazi
 
Graph hata ikionyesha hivyo je unajua gharama mnayotumia kuwahadaa watanzania.

Chamviga

1. Unaifamu, weka hapa ushahidi kutuonesha kama unao! vinginevo ni mpiga debe anayesumbuliwa na njaa kali lumumba.

2. Je unaweza kutuambia kwa kukosa tiba bora ccm na serikali yake inasababisha maafa mangapi kwa watanzania?
 
Kijiji ninachotoka , huko Kyela ,asilimia 90 ya wakazi wake wamehamia CHADEMA kwa nyakati tofautitofauti ! Ccm kwisha kazi , chali miguu juu !
 
Kijiji ninachotoka , huko Kyela ,asilimia 90 ya wakazi wake wamehamia CHADEMA kwa nyakati tofautitofauti ! Ccm kwisha kazi , chali miguu juu !
Kama unafahamu maana ya exponential growth, chochote chawezekana.
 
wanaikubali sana CDM japo hawataki kuweka hadharani na wakae chonjo kuanzia mwakani tutakapoanza kuwakamulia maji ya machungwa machoni ...2014 is coming tomorrow and liberation is nearer than ever b4
 
wanaikubali sana CDM japo hawataki kuweka hadharani na wakae chonjo kuanzia mwakani tutakapoanza kuwakamulia maji ya machungwa machoni ...2014 is coming tomorrow and liberation is nearer than ever b4
Mwalimu Lwaitama, kamakiza mengi leo kuhusu Mabomu ya Arusha na Ugaidi "ni dalili za serikali kushindwa kazi".
 
Sasa ni zamu ya dar, hizo serikali za miaa huko Kawe
 
Fanya udadisi acha kukurupuka!

Kesi zote ambazo chadema wamefunguliwa watanzania wanaona kama wao ndiyo wamefunguliwa kesi, ndiyo maana wameichukia ccm na serikali yenu. Hafa kauli ya kusema PM ni -------- ilisemwa na Watanzania waliowakilishwa na Mbilinyi. Mahakama nayo imeona jamaa ni -------- kutamka kauli za kipumbavu!!!!


mkuu sasa hivi neno mpu.mbavu halitokei limeshawekwa kwenye black list , ukitaka litokee tupia na kinukta katikati.
 
mkuu sasa hivi neno mpu.mbavu halitokei limeshawekwa kwenye black list , ukitaka litokee tupia na kinukta katikati.

Mkuu nimeona, naona Mods wetu wameingiwa na uwoga wakati mahakama imethibitisha kuwa neno MMPUMBAVU ni sifa
 
Mkuu nimeona, naona Mods wetu wameingiwa na uwoga wakati mahakama imethibitisha kuwa neno MMPUMBAVU ni sifa

uzuri binadamu tunaimprovise tukipata ugumu. upumba.vu utabakia kuwa upumba.vu tu hata ukificha namna gani.
 
Marekebisho kidogo kamanda.Kesi ya shujaa lwakatale ni mwaka huu na si mwaka jana..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom