CHADEMA yazidi kumeguka...!


ukikosa busara kwenye jambo hata dogo tu, ni halali kuitwa umefilisika
 

Safi sana kaka
 

Baada ya WanaCCM damu kumshtukia Shonza na Mwampamba kuendekezwa wakati hawajatolea jasho CCM na huku wakiendendelea kula matunda ya kazi ya wenzao kwenye misafara wakawatolea uvivu akina Mchemba, Nape na Kinana, sasa wako nje ya misafara.

Kinachoendelea njaa imeanza kukolea, bora kujiunga na wale wa buku7. Kazi kwelikweli, haya ndio tunayosema mara kwa mara tumia akili yako kupima mambo badala ya kujiingiza kichwakichwa tu kisha unatafuta pa kujishikiza hapashikiki.
 
Mtu kahama kwa matatizo yake binafsi, unataka tutafute mchawi?

 
haishangazi watu wenye akili fupi kukimblia ccm! lakini pia njaa pamoja na ufupi wa akili waliyo jengewa na hiki chama cha kifisadi ndiyo kina fanya wahangaike wali wasijue wanachofanya

Huyo Maja alipata matatizo akiwa anafanya shughuli za CHADEMA?? Mbona haelezi Matatizo gani aliyapata ! Haishangazi watu wengine kurudia matapishi yao !KAMA ALIKUWA CCM BARIDI/MOTO ATARUDI CCM
 
Katibu mwenezi wa kata!!! halafu chadema inazidi kumeguka?! hizi ni akili au matope? umenipotezea muda bure.
 
Kweli chadema wamejitahidi mpaka wameongeza na kipengele cha kupigana na kutukana bungeni safi sana chadema endeleeni kupigana na kutukana bungeni.
 
Ungekua na akili ungegundua kuwa uliloandika linapingana na kichwa cha habari!
Amehamia ccm kwa kuwa alikua na shida zake binafsi na mkamsaidia! So analipa fadhila!
 
Chadema maisha yake hayapo tena hata kwa kuongezewa damu haitapona kabisa lazima ife tu.
 
Wajinga ndio waliwao..,wamesema waswahili na hawakukosea. Josephine aka mama junior anakausha hazina ya CDM kila kukicha kwa route zisizo za ajabu na kulala kwenye mahoteli ya kifahari bila title wakati wanaopiga kazi huko kwenye kata wanakufa njaa..
 
...........................Mimi nilipata matatizo lakini walishindwa kunisaidia hadi nikasaidiwa na CCM, nimeona kuwa chama cha ukweli ni Cha Mapinduzi pekee" .................................

Kwa hizi statement tu, inaonyesha huyu ni mbinafsi kama alivyo Juliana Shonza Mtela Mwampamba na wadau woote wanaolitumikia hili Taifa lakini wamefungua Account kwa ajiri ya kuficha huko "Mishahara" yao, na watu wa hivi huwa wanastawi zaidi wakiwa CCM, kwa hiyo amehamia chama muafaka kwake
 
Hivi kumbe na wewe ni mhanga wa hizo buku 7 ! Mbona umeshuka namna hii ? Kweli kabla hujafa hujaumbika !
 
we ndo hovyo kabisa..,haujui hata unaongea nini..
 
Wajinga ndio waliwao..,wamesema waswahili na hawakukosea. Josephine aka mama junior anakausha hazina ya CDM kila kukicha kwa route zisizo za ajabu na kulala kwenye mahoteli ya kifahari bila title wakati wanaopiga kazi huko kwenye kata wanakufa njaa..

Usijali next time tutamwomba Slaa ukuchukue nafasi ya mama Junior!hakikisha passport unayo tuu!
 
CCM hawajakupatia kitengo tu kama walivyokuahidi? inaonekana unaelea elea tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…