CHADEMA yazidi kubomoka

CHADEMA yazidi kubomoka

Sasa kama huyo mchumia tumbo atakuwa mkurugenzi wa mafunzo Na Benson Kigaila atakuwa Nani Sasa?Hizi story za abunuwasi utazipata fisiem tu maana wapo vichaa wanajifurahisha wakiingozwa Na kichaa mkuu...
Hata Waitara mlimtukana pia...
 
Joachim Mbowe alikuwa ni Takataka pia?
Hakukuwahi kuwa na kiongozi wa Bavicha mwenye jina hilo Pale Hai , kuna kitu hukijui kuhusu huu utapeli , ni hivi , ndani ya chama chako kuna kikundi cha matapeli wanaopiga mpunga kwa kuleta viongozi feki wa Chadema , hii inatokana na Makao Makuu ya ccm kujaa viongozi WASHAMBA , hii ni kama wajanja walivyomtumia Makonda kuingiza mizigo bila kulipa ili wapige hela ( hapa sizungumzii makontena , huu ni mzigo mdogo sana ) ndio maana wapambe wa Makonda kama Le Mutuz na Jerry Murro wanakula bata daily.

Endelea kushangaa huku wenzako wanatumia ushamba wa viongozi kujineemesha , siku Magufuli akija kustuka atashangaa sana !
 
Hakukuwahi kuwa na kiongozi wa Bavicha mwenye jina hilo Pale Hai , kuna kitu hukijui kuhusu huu utapeli , ni hivi , ndani ya chama chako kuna kikundi cha matapeli wanaopiga mpunga kwa kuleta viongozi feki wa Chadema , hii inatokana na Makao Makuu ya ccm kujaa viongozi WASHAMBA , hii ni kama wajanja walivyomtumia Makonda kuingiza mizigo bila kulipa ili wapige hela ( hapa sizungumzii makontena , huu ni mzigo mdogo sana ) ndio maana wapambe wa Makonda kama Le Mutuz na Jerry Murro wanakula bata daily.

Endelea kushangaa huku wenzako wanatumia ushamba wa viongozi kujineemesha , siku Magufuli akija kustuka atashangaa sana !
Waitara?
 
Vyama vya siasa ni itikadi philosophy na sera ndo zinazo vuta wanachama kujiunga kwahiyo chama hakiwezi kufa kwajiri ya mwana chama kukuhama wakati itkadi ya chama iko palepale, hata hakihama Mbowe chama kitabaki na wanachama wapya wataibuka. Kuna mifuano mingi tu.

Acha kujipa moyo, kikowapi NCCR Mageuzi, kama chama ni itikadi? Akiondoka mbowe, chakadema kitayumba sana, kwani wafuasi wake wengi ni kutoka kanda ya kaskazini. Ni sawa na CUF Zanzibar, akiondoka Maalim Seif, na chama ndiyo kwaheri
 
i) Aliyekuwa mkurugenzi wa mafunzo CHADEMA Taifa, Loyce Giboma amejivua uanachama wa chama hicho na kutangaza kujiunga na Chama cha Mapinduzi

ii) Mwenyekiti wa BAVICHA Wilaya ya HAI Ndugu Joachim Mbowe amejivua uanachama na nyadhifa zake zote ndani ya chama hicho na kutangaza kujiunga na Chama cha Mapinduzi

#NyumbaniKumenoga
Kwanini wanaenda CCM pekeyake hawaendi vyama vingine why.
 
Mkuu, heshima sana! Hivi unamaanisha kwenye mada hii wametajwa wanaodaiwa kuhamia ccm lakini ikisemwa kuwa hakuna watu wa majina na nyadhifa hizo (sijui kama ni kweli) tugeuke na tuanze kumjadili waitara?!
 
Mkuu, heshima sana! Hivi unamaanisha kwenye mada hii wametajwa wanaodaiwa kuhamia ccm lakini ikisemwa kuwa hakuna watu wa majina na nyadhifa hizo (sijui kama ni kweli) tugeuke na tuanze kumjadili waitara?!
Pro Chadema wana tabia ya kutukana makamanda wao pindi wanapohama.Mwambie atutajie majina halisi ya wenye vyeo hivyo hapo CDM Kama hawa waliohama wanaitwa feki.

Na kama anaona CCM inalaghaiwa nimemuuliza vipi kuhusu Waitara,Kalanga na Mollel?
 
i) Aliyekuwa mkurugenzi wa mafunzo CHADEMA Taifa, Loyce Giboma amejivua uanachama wa chama hicho na kutangaza kujiunga na Chama cha Mapinduzi

ii) Mwenyekiti wa BAVICHA Wilaya ya HAI Ndugu Joachim Mbowe amejivua uanachama na nyadhifa zake zote ndani ya chama hicho na kutangaza kujiunga na Chama cha Mapinduzi

#NyumbaniKumenoga
Wanaenda kuingia kwenye kitanzi cha gereza ndani ya kaburi la fikra
 
hali ngum mfukon, wafanyeje sasa,jiwekichaa bana mpaka wenye roho ngum kama cc tubaki,alafu uje ushuhudie mziki kama siyo kuutapika kama zile hela za meli
 
i) Aliyekuwa mkurugenzi wa mafunzo CHADEMA Taifa, Loyce Giboma amejivua uanachama wa chama hicho na kutangaza kujiunga na Chama cha Mapinduzi

ii) Mwenyekiti wa BAVICHA Wilaya ya HAI Ndugu Joachim Mbowe amejivua uanachama na nyadhifa zake zote ndani ya chama hicho na kutangaza kujiunga na Chama cha Mapinduzi

#NyumbaniKumenoga
So what??this silliest at highest level
 
ni haki zao kikatiba. ila tatizo bado maisha ya wananchi yanazidi kuwa magumu....
 
...Hama hama ya vyama kwa sasa ni hofu ya kimaisha inayopandikizwa na kundi dogo la watu, 'linalohodhi' madaraka kwa lengo la kujiandalia utawala wa milele. Kwa minajili hii si ajabu kundi lingine likamwagikia tena upande wa pili. Umasikini ndio kete ya kuleta hofu. Haya ya itikadi, sera ni mapambo ya vyama vya siasa.
 
i) Aliyekuwa mkurugenzi wa mafunzo CHADEMA Taifa, Loyce Giboma amejivua uanachama wa chama hicho na kutangaza kujiunga na Chama cha Mapinduzi

ii) Mwenyekiti wa BAVICHA Wilaya ya HAI Ndugu Joachim Mbowe amejivua uanachama na nyadhifa zake zote ndani ya chama hicho na kutangaza kujiunga na Chama cha Mapinduzi

#NyumbaniKumenoga
Onyo kwa CCM. Naona wimbi hili linaendelea. Muda umekuwa mrefu nahisi, sasa CCM itapokea hata vibaraka wa kuja kuiumbua.
 
..mbona chama Mwenyekiti ni kichaa?

..Je, chama kiko salama?

..na katiba wenu mkuu anasema mnafuata Itikadi ya Ujamaa, wakati huohuo kuna mawaziri MAKABAILA wanaopora ardhi za wanyonge.
 
Back
Top Bottom