Huyo Joachim Mbowe asije akawa ametumwa na mbowe!!i) Aliyekuwa mkurugenzi wa mafunzo CHADEMA Taifa, Loyce Giboma amejivua uanachama wa chama hicho na kutangaza kujiunga na Chama cha Mapinduzi
ii) Mwenyekiti wa BAVICHA Wilaya ya HAI Ndugu Joachim Mbowe amejivua uanachama na nyadhifa zake zote ndani ya chama hicho na kutangaza kujiunga na Chama cha Mapinduzi
#NyumbaniKumenoga