CHADEMA yateketeza CCM Kwimba

CHADEMA yateketeza CCM Kwimba

Mkuu Molemo,
Mwaka 2010 nilienda Kyela baada ya uchauzi Mkuu, nilikuta watu bado wana imani sana na CCM.
Lakini habari nilizopata hivi karibuni, ni kwamba uchaguzi wa kujaza nafasi za uwakilishi ngazi za vijiji na vitongoji huko Kyela, kimeonyesha mabadiliko ya kasi ya ajabu.
Pamoja na mizengwe na rafu za CCM, CHADEMA imezoa vijiji vitano kati ya 13 vilivyogombaniwa, na vitongoji 11 kati ya 61 vilivuogombaniwa. Hii kwangu ni mafanikio ya Kimbunga katika wilaya ambayo miaka miwili iliyopita ilikuwa ni aibu kujiita mpinzani.
Hivyo, mwaka 2013, kama CHADEMA itasimama imara na kuwafukuziloa mbali wale Masalia wanaolipwa na Magamba , 2014 itakuwa turning point ya CCM kizikwa rasimi!
Tumwombw Mungu CHADEMA waisambaratishe CCM iliyomo ndani ya CHADEMA ikiongozwa na kina SHibuda, Zitto na kwa mbali ARFI

Mkuu wangu Nyumbu umeongea kweli.Nakumbuka hata uchaguzi mkuu uliopita kauli mbiu ya wanaKyela ilikuwa urais Dr Slaa,ubunge Dr Mwakyembe.Kyela walikuwa wanamheshimu Dr Slaa tu na si Chadema.Leo Chadema imepenya kila kona ya Mbeya.Kazi aifanyayo Sugu si ya kubeza

Hata hivyo mkuu wangu naomba umuombe Radhi Mzee Arfi nakuhakikishia hana bei huyu na ni kati ya wazee wenye hekima kubwa ndani ya Chadema.
 
Last edited by a moderator:
Kamanda MAWAZO umetoka CCM kwa kazi moja tu, nayo ni kuwatumikia WATANZANIA na sio tumbo lako kama ambavyo umekuwa ukisema. MUNGU akujalie tupo pamoja ila kila mmoja na upande wake ila mwisho wake tunakutana sehmu moja nayo ni KUIWEKA PEMBENI CCM katika UTAWALA wa nchi. Ahsante MUNGU.

Kamanda mawazo ni tishio kuu kwa CCM kanda ya ziwa.
 
Chama cha Mapinduzi CCM kiko katika hali mbaya katika Jimbo la Kwimba baada ya maelfu ya wanachama wake pamoja na viongozi kadhaa kuhamia CHADEMA.

CHADEMA imezoa wanachama 15000 katika mikutano mikubwa sita iliyopigwa katika kata kadhaa za wilaya hiyo.

Mikutano hiyo ilihutubiwa na kiongozi mkuu wa M4C Kanda ya Ziwa Alphonce Mawazo.Kiongozi huyo alisema wananchi wameamua kuhama kutoka kwenye siasa za CCM za Analogia na kuhamia siasa za CHADEMA za Digitali.

Wachunguzi wa kisiasa wilayani Kwimba wanasema CCM ina hali mbaya wilayani humo na kuna uwezekano mkubwa uchaguzi ujao CHADEMA kuzoa ubunge na madiwani wote wilayani humo.

Source:Tanzania Daima.
Kuna watu wanalalamika kuwa watu wa kazikazini wanapewa shavu na Dr Slaa wakatolewa mfano Mawazo na Ole Millya sasa naomba wasome uzi huu waone kazi ya Mawazo na kama watakuwa na maswali wayaweke hapa tutawapa takwimu kazi anayoifanya mawazo, Millya,Bananga na wengine ambao wamejitoa kujenga chama siyo unafiki nafiki tu...Mawazo fanyakazi na jua hata Chrismas ulikuwa unachapa kazi... Hongera sana Mawazo
 
Kamanda kama ulijikwaa naomba usome bandiko la Molemo juu ya makamu mwenyekiti wetu....
Mkuu Molemo,
Mwaka 2010 nilienda Kyela baada ya uchauzi Mkuu, nilikuta watu bado wana imani sana na CCM.
Lakini habari nilizopata hivi karibuni, ni kwamba uchaguzi wa kujaza nafasi za uwakilishi ngazi za vijiji na vitongoji huko Kyela, kimeonyesha mabadiliko ya kasi ya ajabu.
Pamoja na mizengwe na rafu za CCM, CHADEMA imezoa vijiji vitano kati ya 13 vilivyogombaniwa, na vitongoji 11 kati ya 61 vilivuogombaniwa. Hii kwangu ni mafanikio ya Kimbunga katika wilaya ambayo miaka miwili iliyopita ilikuwa ni aibu kujiita mpinzani.
Hivyo, mwaka 2013, kama CHADEMA itasimama imara na kuwafukuziloa mbali wale Masalia wanaolipwa na Magamba , 2014 itakuwa turning point ya CCM kizikwa rasimi!
Tumwombw Mungu CHADEMA waisambaratishe CCM iliyomo ndani ya CHADEMA ikiongozwa na kina SHibuda, Zitto na kwa mbali ARFI
 
Mawazo huwa anasema siyo lazima wote wahame CCM kwani hata enzi za nuhu kuna walio kadi na siku mlango ukifungwa watajuta...
Shauri yao wanaobaki watabaki kuona chengachenga.
 
Kuna watu wanalalamika kuwa watu wa kazikazini wanapewa shavu na Dr Slaa wakatolewa mfano Mawazo na Ole Millya sasa naomba wasome uzi huu waone kazi ya Mawazo na kama watakuwa na maswali wayaweke hapa tutawapa takwimu kazi anayoifanya mawazo, Millya,Bananga na wengine ambao wamejitoa kujenga chama siyo unafiki nafiki tu...Mawazo fanyakazi na jua hata Chrismas ulikuwa unachapa kazi... Hongera sana Mawazo

Hili kundi la Masalia linalalamika kupitia keyboards wakati makamanda wanapambana kwenye uwanja wa vita.
 
Tena kuna wakati wana kuwa kwenye wakati mungu kweli hata pesa ya mafuta kutoka sehemu moja kwenda nyingine ni shida wanaacha familia zao mwezi mzima wana jenga chama leo unataka ujifananishe na wewe sijui mwampampa na Mawazo
Hili kundi la Masalia linalalamika kupitia keyboards wakati makamanda wanapambana kwenye uwanja wa vita.
 
Tena kuna wakati wana kuwa kwenye wakati mungu kweli hata pesa ya mafuta kutoka sehemu moja kwenda nyingine ni shida wanaacha familia zao mwezi mzima wana jenga chama leo unataka ujifananishe na wewe sijui mwampampa na Mawazo

Masalia na matunguri yao Makamanda na Mungu wao.
 
Yeah! Hayo ndio matunda ya M4C lakin cha ajabu utashangaa kuona vijana wasongoma eti wanaiponda M4C tena bila hata aibu.

No way out to escape M4C!
Peoples power!
 
Kuna watu wanalalamika kuwa watu wa kazikazini wanapewa shavu na Dr Slaa wakatolewa mfano Mawazo na Ole Millya sasa naomba wasome uzi huu waone kazi ya Mawazo na kama watakuwa na maswali wayaweke hapa tutawapa takwimu kazi anayoifanya mawazo, Millya,Bananga na wengine ambao wamejitoa kujenga chama siyo unafiki nafiki tu...Mawazo fanyakazi na jua hata Chrismas ulikuwa unachapa kazi... Hongera sana Mawazo

kamanda hao wanaolalama ni masalia tena waasi wakubwa wenye viapo vya kuzimu na hawana nia njema na chama.
 
Yeah! Hayo ndio matunda ya M4C lakin cha ajabu utashangaa kuona vijana wasongoma eti wanaiponda M4C tena bila hata aibu.

No way out to escape M4C!
Peoples power!

Mkuu Shardcole huenda ndiyo masharti ya Sangoma waliyopewa.Kutegemea sana uchawi unajitoa utu wako.
 
Last edited by a moderator:
Nimefarijika sana kusoma hapa kuwa Watanzania wenzangu 15,000 wamepata ukombozi wa kifikra, sasa waje tuungane tupambane ili kujitoa ktk minyororo ya udhalimu na ukandamizaji..! Sauti ya wengi, Sauti ya Mungu.!
 
Back
Top Bottom