CHADEMA yateketeza CCM Kwimba

CHADEMA yateketeza CCM Kwimba

Ni Elfu kumi na Tano mkuu devson.Na kukuthibitishia zaidi hilo kadi 5000 zilitolewa papo hapo kwenye mikutano na wanachama wengine 10000 wamejiandikisha kwenye madaftari wakisubiri kadi zifike kwani kadi wilayani zimeisha.
Napata wasiwasi wangekuwa wanjiandikisha kwenye dafutari la kudumu la chadema pamoja na namba zao za simu ilikuwatambuwa walipo, ni vema kuwa na database ya wanachama wa CDM.
 
Napata wasiwasi wangekuwa wanjiandikisha kwenye dafutari la kudumu la chadema pamoja na namba zao za simu ilikuwatambuwa walipo, ni vema kuwa na database ya wanachama wa CDM.

Wazo zuri sana naamini litafanyiwa kazi.Mkuu Crashwise alishatuambia kuanzia January Arusha kazi itakuwa ni hiyo.
 
Last edited by a moderator:
Hivi hawa watu hawakusikia kuwa Dr. Slaa anamiliki kadi?

Tulidhani tumemaliza nguvu ya CDM kwa hoja ya kadi ya Dr. Slaa!
 
Kusini wameharibu wenyewe mambo ya gesi bila kushirikisha watu.

Eti wanawatukana watu kuwa hawafikirii wanapotaka kujulishwa maslahi yao!

Watu korosho zimedoda, gesi imeleta matumaini lakini badala ya nafuu wanaona usanii, na bado CCM hawaoni point ya hawa Watanzania!!!
 
Chungeni kwa mwendo huu magamba wajadili lakufanya na huyo mzee wa kufumaniwa msishangae na matusi yake ndo hivyo badala ya seta ni matusi mnatakiwa mfurai anpozika chama alaaa.....!!!!!! Chi chi em bye...........
 
Wamezoea huwizi laana ya twiga ni kukamatwa kwa pembe za wanyama wetu hata ingekuwa wewe boss wako ana deal ya meno ya tembo kwenye mkutano utaongea nini badala ya kutukana.......
 
but i doubt hizo figure hapo juu, 1500 or 15000?

hizi headline humu uwa zinaandikwa na wana propaganda wa kizamani sana....kugaragaza, kuchanachana, kuteketeza, etc inapofika uchaguzi kama ule wa juzi juzi wa madiwani hatuoni hizi headlines...hao wapiga kura wanaohama uwa wanapigaje kura zao sasa au ni mbwembwe za mikutano maana yake wilayani huko hakuna viburudisho vingi na hivyo mikutano ya hadhara ni moja ya viburudisho vyao hao wananchi na maamuzi yao yanakuaga short lived-adreanline induced, (kutokana na burudani na siyo vinginevyo) yasiyokua na athari zozote siku sober ya kupiga kura inapowadia.....pole sana CDM

na namba nafikiri ni 1500, 15,000 is untainable ndani ya wilaya hata kubwa kama Temeke
 
hizi headline humu uwa zinaandikwa na wana propaganda wa kizamani sana....kugaragaza, kuchanachana, kuteketeza, etc inapofika uchaguzi kama ule wa juzi juzi wa madiwani hatuoni hizi headlines...hao wapiga kura wanaohama uwa wanapigaje kura zao sasa au ni mbwembwe za mikutano maana yake wilayani huko hakuna viburudisho vingi na hivyo mikutano ya hadhara ni moja ya viburudisho vyao hao wananchi na maamuzi yao yanakuaga short lived-adreanline induced, (kutokana na burudani na siyo vinginevyo) yasiyokua na athari zozote siku sober ya kupiga kura inapowadia.....pole sana CDM

na namba nafikiri ni 1500, 15,000 is untainable ndani ya wilaya hata kubwa kama Temeke

Acha kujibaraguza ndugu yangu,ni elfu kumi na tano na sio elfu moja na miatano kama utakavyo wewe.Jipe moyo tu.
 
Back
Top Bottom