Nafarijika kusikia na Dom nako kuna mwamko, labda niwakumbushe tu magamba kuwa there's a wind of change blowing no one can stop it.
Enyi magamba jitengenezeeni mazingira mazuri ya kuisha pindi mtakapo ondolewa madarakani badala ya kujichimbia kaburi kama mfanyavyo sasa.
PEOPLES...... POWER......