agripinadaud
Member
- Nov 20, 2011
- 39
- 14
Watanzania wenzangu, hakuna aliye na atakaye kuwa na jipya ndani ya chama cha mapinduzi (ccm), hata awe nani na atoke wapi. Ccm ishakuwa corrupted completely and there's no way whatsoever it can come back to help us tanzanians. Cha msingi ni kutomchagua mgombea yeyote yule wa urais hata ubunge atokaye ccm kwa 2015 election. Rais wetu ni yule yule tuliyemchagua 2010 dr.slaa wa ukweli. Mtu mwenye uchungu na nchi yake na mtu asiye patana na wevi wa mali ya umma. Tukikosea tena basi tusimlaumu mungu. Mungu katupa akili ya kutambua mema na mabaya ili tukemee mabaya na si tuogope kukemea mabaya. Kama tunagopa kukemea mabaya then hatuna tofauti na wanyama wa porini! Let's remove and remove ccm once and for all!