Rudi shule bwana mdogo, kuna tofauti kubwa sana kati ya ban na burn.Natambua kuwa hapa si FB ule ni mtandao wa ullimwengu mzima si kama hapa JF kwa CDM. Lakini ukweli lazima tuwe tunausema. Tunajua wazi wewe ni mmoja wa wanaofaidi fedha za harambee wanazochangishwa walipa kodi wetu. Mnazitumia kupiga propaganda ambazo hazina maana yoyote, hebu jaribu kutembelea TANURU LA FIKRA kule FB ujionee hoja zinavyowasilishwa na kuchangiwa kwa uwazi. Kule FB SLAA, MBOWE na wngine wanachambuliwa kwa undani na na madudu yao kuwekwa hadaharani wakati huku JF ukimgusa SLAA unakula burn ya nguvu na naamini kwa mchango huu lazima leo nile burn , fuatilia baada ya dk 10 hutaniona tena nitakuwa nimeshakula kitanzi toka kwa MODs ambao nao wanakula za walipa kodi. Ukiona mtu anang'ang'ania humu JF ujue huyo anafanyia CDM, na mfano mzuri ni wewe ambaye hutaki kupanua uelewa wako na unabaki kunyoosha vidole juu kama unaimba taarabu.