CHADEMA yasitisha maandamano-Arusha

Polisi wamefanikiwa kudhibiti huu uhuni uliopangwa kufanywa na LEMA. huu ni ushindi dhidi ya uonevu unyanyasaji, ukabaji, uporaji na kila aina ya dhuluma wanaofanyiwa raia wema na hawa waandamanaji.
 
Uamuzi wa busara sana CDM !

Ninaamini haya maandamano yalikuwa halali na yangekuwa ya amani ila ninadhani Polisi ya CCM wangetumia nguvu kubwa mno kutawanya hayo maandamano na kuleta vurugu kubwa na probably ingeweza hata kusababaisha vifo na wangetupotezea focus kabisa na si ajabu wangepata sababu nzuri za kuahirisha uchaguzi wa jpili.......

PolisiCCM walikuwa wameshajipanga kufanya huo uahalifu. Mmepiga mkwara, wamekusanya hasira zao na nguvu kuwaumiza wanaCDM halafu mwishoni kabisa mkasema tumeahirisha, mihemko yao na silaha walizoandaa na hasira zao zimebaki zinahang !. Ninaamini wamesikitika sana kukosa opportunity hiyo ya kufanya uhalifu na kusingizia CDM. On the surface itaonekana kama CDM imegwaya lakini CDM imewapiga Polisi + CCM bao la nguvu sana !

Sasa tuweke nguvu zetu zote kwenye uchaguzi wa jpili.....Hongera sana CDM kwa uamuzi wa busara !




 
tuandamane, tusiandamane ile kata inakwenda chadema..
Mkuu hili liko wazi na ccm wanajua sasa hivi wanaandaa mbinu chafu za kuvuruga kama walivofanikiwa kwa kata zile zingine uchaguzi ukaarishwa lakini bado wakapigwa chini
 
Mnatishia kujamba wakati mna tumbo la kuhara mtaaibika kwasasa hamna mazezeta tena chuga
 
Polisi wamefanikiwa kudhibiti huu uhuni uliopangwa kufanywa na LEMA. huu ni ushindi dhidi ya uonevu unyanyasaji, ukabaji, uporaji na kila aina ya dhuluma wanaofanyiwa raia wema na hawa waandamanaji.

vijana wa unga Ltd, esso, Sokon wani, matejoo,ngarenaro,kijenge ,watakuwa wamekasirika sana, polisi wamewatibulia dili lao
 
Kwa watu tuliopo Arusha tunajionea umbulula wa hili jeshi la polisi, maana leo kila kona ya jiji wamepaki Defender zisizo pungua mbili na magari ya maji ya kuwasha mawili na hapo ni katikati ya jiji. Kwenye kata yenyewe ya Sombetini ndo usiseme mitaa yote utafikiri ni makambi ya Feed-force jinsi askari walivyojazana na bunduki zao.

Swali:
Je Chadema Arusha ikiamua kutangaza maandamano kila week polisi si itafilisika?
 

Tuandamane kudai uboreshwaji wa usafiri wa reli. Hili ndilo lenye manufaa kwa umma.
 
Huko Arusha CCM hawana cha kwao!!
 
Lema unatishia kujamba wakati unaarisha utahaibika ndugu Arusha kwasasa imekuchoka
 
hayo maandamano haramu ya lema na wahuni wenzake yamepigwa marufuku na jeshi la polisi, ucha upotoshaji

Lazima utakuwa ulizaliwa chooni wewe

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mnatishia kujamba wakati mna tumbo la kuhara mtaaibika kwasasa hamna mazezeta tena chuga

Naamini upo Arusha, ccm kwa Sombetini sijui mtaficha wapi nyuso zenu, kumbuka matokeo ya kata nne Arusha Mwigulu alikutwa KIA kukwepa aibu. Sijui kama bado yupo na yule msukule wa kutengenezwa.

Cc: aminangalo

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Magamba aka mizigo wanawashwa kweli na kamanda Lema......sasa tunangojea jimbo la kalenga na Chalinze muone mshikeshike wake...
 
Sijawahi kuunga mkono maandamano sijui ni kwanini Lema hataki kubadilika.Maandamano mpaka leo hayajawahi kumwondoa Meya lakini watu wasiokuwa nahatia walikufa.
 

Kweli akili zako umeshikiwa na bwana LEMA, unapoona polisi wanafanya kazi ya kudhibiti fujo mnazozisababisha, jua fika kuwa ni hela za kodi zinatumika, kwahiyo usifurahie maandamano ya LEMA ukadhani unawakomoa Polisi au serikali, la! gharama zote ni sisi walipa kodi tunalipa!
 

Nakushukuru kwa habari mkuu,
Itakuwa vizuri jumatatu kama utatupa habari ya sombetini?

5-0
 
Ndio maana nawapongeza sana CDM kwa kuahirisha.....

Hawa polisi walijipanga kupiga watu na wangewaumiza sana watu, hata wangeweza kusababisha vifo....Sasa wamebaki na maslaha yao na hasira zao.....watakuwa wamechukia mno kukosa nafasi ya kuumiza watu !

Kuwapiga kwenye sanduku la kura tu ndio dawa yao stahiki na hili wataliona jpili !

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…