CHADEMA Yasimamisha Dodoma

CHADEMA Yasimamisha Dodoma

Ukiona mpaka wagogo wamebadilika ujue ikulu hiyooooook
 
Nambari wani eeeeh eheeeeeee nambari wani ni CCM, naamini enzi za utoto wako ulishaga wahi imba haka kawimbo! Je jiulize ni miaka mingapi tokea hujazaliwa huu wimbo ulishakuwepo na hadi hivi keo lijibaba umekuwa mkubwa na midevu kama mbuzi dume imekutoka lkn CCM iko pale pale! Hahaha kuna ubishi tena hapo? Eeeenh?!
we boko naona una mambo ya kitoto sana na unataka kutuendesha humu jf kila muda unaongea kashfa unaona hii nchi kwasababu wewe umenunuliwa pamoja na baako kwasababu ya njaa zako na ww ni mwoga sana wa njaa ndio maana umeamua kujiuza ccm
Na unawasiwasi sana hii nchi ikichuliwa na ukawa utaishi vipi wakati wewe.maisha yako ni kujiuza ccm huu mwaka utaluona na njaa njaa zako
 
we boko naona una mambo ya kitoto sana na unataka kutuendesha humu jf kila muda unaongea kashfa unaona hii nchi kwasababu wewe umenunuliwa pamoja na baako kwasababu ya njaa zako na ww ni mwoga sana wa njaa ndio maana umeamua kujiuza bccm
Na unawasiwasi sana hii nchi ikichuliwa na ukawa utaishi vipi wakati wewe.maisha yako ni kujiuza ccm huu mwaka utaluona na njaa njaa zako

Umempa za uso hataka harudi tena
 
Kura ndio mwamuzi.CHADEMA KWENDA kwenda ikulu ni maamuzi ya waelewa wakiwa wengi ikulu tunaingia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom