Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,410
- 271,871
Naiona saa ya ukombozi inakaribia.
unajua hii elimu nzito tuliyoipeleka mguu kwa mguu sasa imeeleweka , asanteni sana makamanda wote popote mlipo , tulishasema mapema kwamba ccm ni wepesi kuliko pamba , nadhani watu wamejionea wenyewe .