CHADEMA Yasimamisha Dodoma

CHADEMA Yasimamisha Dodoma

Naiona saa ya ukombozi inakaribia.

unajua hii elimu nzito tuliyoipeleka mguu kwa mguu sasa imeeleweka , asanteni sana makamanda wote popote mlipo , tulishasema mapema kwamba ccm ni wepesi kuliko pamba , nadhani watu wamejionea wenyewe .
 
Mwaka huu lazima maCCM yakimbie nchi, maana wananchi wamezidi kuyakataa mpaka kwenye ngome zao.
 
Hakika hii ndiyo Chadema tuitakayo.Dodoma imeamka!

Hongereni makamanda!
ni hivi ; si tu kwamba tunataka kutwaa madaraka october bali tunataka kufuta kabisa hii kitu inaitwa ccm nchi hii .
 
Ukubwa wa pua sio uwingi wa makamasi, wewe usidhani kujaa kwa watu ndo kupata uongozi ama wadhifa fulani mahali fulani, wengi wanakuja kuwachots nyota na mkimaliza ujinga wenu hao wanasepa zao.

Una maanisha hivyo na kwa ule mkutano wa Arusha jumamosi iliyopita??
 
Kaa udode chama teule hiko kama inakuuma jinyonge sasa! Tuachie ccm yetu kwa raha zetu, hapati kitu mtu hapa mwanzo mwisho!

Soma alama za nyakati mkuu...Hawa Watanzania wa Leo cyo wa Mwaka 2000.
Hata viongozi waandamizi wa chama tawala wanaumiza vichwa maana wana hofu ya mambo makuu mawili;

1.Tishio la ukawa kuchukua majimbo zaidi ya 190.

2.Mpasuko unaonukia ndani ya CCM.
Kama hujui basi kaa hivyo hivyo.
 
picha hiyo
 

Attachments

  • 1433361174493.jpg
    1433361174493.jpg
    32.7 KB · Views: 281
Mungu bariki my homeland wayapokee mabadiliko ya kweli kwa taifa√√
 
wananchi wakisukumana kumsalimu tundu lissu baada ya kumaliza kutoa elimu
 

Attachments

  • 1433361630206.jpg
    1433361630206.jpg
    32 KB · Views: 300
Membe, Sitta, Nape watajuta kuidhoofisha CCM kiasi hiki ... hakuna namna tena UKAWA wameshachukua nchi ...
 
Waliopo hapo dodoma ni waganga njaa kama wewe hawajui lolote ni vibendera fata upepo kama ulivyo wewe mbumbumbu

Kusema kile ulichowaza kuhusu mwenzio aliyepo kimya haimaanishi kwamba wew upo salama, afu UKIONA MTAANI KWENU HAKUNA KICHAA BASI JITAZAME VIZURI MAANA SI AJABU WALIOKUZUNGUKA HUONA WEWE NDIYE... Mbona Ccm wanazunguka kufanya mikutano yao hakuna anayejitokeza kwenda japo kumshangaa yule Fisi? Endelea kujidanganya.
 
Duniani kuna maajabu sana! Eti Chadema nao wanawaza kuingia ikulu! ukisikia ndoto za mchana ndio hizo
 
Hahahaha! Magamba bhana! Unaweza pia kusema gharama mlizotumia kuwasomba hao watu kwa malori kutoka mikoa mbali mbali?

Achana nae labda huo wuwanja wa Sheikh Amri Abeid Karume upo nyumbani kwake..
 
haa haa ukawa wakichanga karata zao vizuri watafika mbali. VOTE FOR UKAWA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom