Naiona saa ya ukombozi inakaribia.
Na hiyo avatr yako inaonyesha kabisa umeshapiga ile kitu,hiyo safari labda ya kuelekea kuzimu.Naiona saa ya ukombozi inakaribia.
mkutano mkubwa sana unaendelea mdaa huu hapa dodoma na viongozi mbalimbali wa chama wapo hapa mwitikio wa wananchi nimkubwa sana updates zinakuja
![]()
![]()
Ndio Maana Mr. Tembo Man anatembea nawaganga
Ccm walijisahau na kufikiri watanzania wa miaka ile ni sawa na kizazi hiki sasa wajitathimini upya maana ccm mwaka walishinda kwa asilimia 81 chadema 05 asilimia na 2010 walishinda kwa asilimia 61 na chadema 26 je mwaka ccm watashinda? Maana vyama vya upinzani wameungana wata pata 52 ccm 45 na 3 vyama vilivyobaki ukawa hoyeeeee
Mbilingondo helewa hili ccm imekataliwaKweli ukipumbazwa unapumbazika Unasema CCM wamejisahau wakati ndo wanaongoza nchi wewe ni mtu wa aina gani usiyefikiri hata kidogo ukaelewa hizo asilimia ulizozitaja ni Sarakasi na nyimbo baada ya kulewa mvinyo!
We unadhani maisha bora ni kunywa maziwa kila siku na kula pilau na kuku plus viepe? Hahahaha una akilimza kitoto kweli wewe kijana, maendeleo huyaoni kwani ktk nchi hii?
Mcumia tumbo wewe kojoa ukalalwe, unavamia tu mada usiyoijua
usipopigwa ban ya milele hapa jukwaani , nitashangaa sana !Umeishiwa hoja wewe nenda kajifungue hiyo mimba alokupa Dr. slaa ndo uje kubishana humu ndani, sibishani na wajawazito kama wewe! Utanipa mada case