CHADEMA Yasimamisha Dodoma

CHADEMA Yasimamisha Dodoma

Waliopo hapo dodoma ni waganga njaa kama wewe hawajui lolote ni vibendera fata upepo kama ulivyo wewe mbumbumbu

TUKUMBUSHE VILEE.. WEWEE UNAFATA UPEPO WA WAPI VILEEEE????:confused2::confused2:
 
Mkuu kama Tanu iling'oka basi na ccm inawezekana
Endeeleni kujidanganya wachumia matumbo wa Ukawa nyie, lkn ukweli mnaujua kwamba chama hiki ni chama teule na hakitakuja kutoelewa na kiumbe yeyote yule in this Universe!
 
basi na wewe nendaga kwa waganga ukagagnge il chadomo kipite afu uone kama kitapita!

kuna mtu ananitonya hapa ansemaaa... Eti wewee.. Ni mganga njala huna lolote.. Unasubiriaga jamaa atoke ofisini kwake hapo lumumba um'bebee begi lake.. Eti kweli si kweliii???
 
hivi kati ya ccm na Chadomo nani wanafanya maigizo? Nyie mmetafuta urais kwa muda gani mpaka hvi leo? Je mmewahi kuupata huo urais? Sasa hauoni hapo nyie mnaigizo, sawa sawa na kutwanga maji kwenye kinu!

Siyo kosa lako Maana wale fisi kwa ccm ni binadamu
 
Siyo kosa lako Maana wale fisi kwa ccm ni binadamu
Nambari wani eeeeh eheeeeeee nambari wani ni CCM, naamini enzi za utoto wako ulishaga wahi imba haka kawimbo! Je jiulize ni miaka mingapi tokea hujazaliwa huu wimbo ulishakuwepo na hadi hivi keo lijibaba umekuwa mkubwa na midevu kama mbuzi dume imekutoka lkn CCM iko pale pale! Hahaha kuna ubishi tena hapo? Eeeenh?!
 
Endeeleni kujidanganya wachumia matumbo wa Ukawa nyie, lkn ukweli mnaujua kwamba chama hiki ni chama teule na hakitakuja kutoelewa na kiumbe yeyote yule in this Universe!
Naona mumeo kaenda bafuni kakuachia katecno kake unamalizia kibundle chake
 
Mkutano mkubwa sana unaendelea mdaa huu hapa Dodoma na viongozi Mbalimbali wa Chama wapo hapa mwitikio wa Wananchi nimkubwa sana Updates zinakuja
attachment.php

attachment.php


Sasa wew jamaa HOVYO..ndo unaona hawa ni watu ,kwenye manispaa kama Dodoma ,kwanza mpiga picha kapiga kijanja janja ili ionekana halaiki ya watu
 
Sasa wew jamaa HOVYO..ndo unaona hawa ni watu ,kwenye manispaa kama Dodoma ,kwanza mpiga picha kapiga kijanja janja ili ionekana halaiki ya watu
Kwa Macho ya Ccm hao ni Fisi
 
Tundu lissu kanukuu maneno ya makongoro nyerere ccm imekamatwa na wabakaji watu wanazid kuongezeka sana
 
Nambari wani eeeeh eheeeeeee nambari wani ni CCM, naamini enzi za utoto wako ulishaga wahi imba haka kawimbo! Je jiulize ni miaka mingapi tokea hujazaliwa huu wimbo ulishakuwepo na hadi hivi keo lijibaba umekuwa mkubwa na midevu kama mbuzi dume imekutoka lkn CCM iko pale pale! Hahaha kuna ubishi tena hapo? Eeeenh?!
Na Maisha Bora kwa kila Mtanzania yapo wapi kwenye kale kawimbo chenu?
 
Kaa udode chama teule hiko kama inakuuma jinyonge sasa! Tuachie ccm yetu kwa raha zetu, hapati kitu mtu hapa mwanzo mwisho!

Mwanzo mwisho unamaana alfa na omega!??? Hii ya CCM au?? Hakuna dhuruma idumuyo! Kaulize dola ya Rumi (Roman Empire); pale ulikuwa huwezi hoji chochote itakuwa hili kapi CCM? YANA MWISHO kama ulivyosema mwanzo mwiso!
 
Basi na wewe nendaga kwa waganga ukagagnge il Chadomo kipite afu uone kama kitapita!

Tulia Dawa ikuingie wewe papasi,kama Ccm nichama teule haitang'oka nini utafute wakukukuna?.Nyie mumebaki na hawa tu
 
Huo mkutano kama umehudhuriwa na Wabunge hao Wabunge watakuwa hawana utu kabisa yaani mwenzao yuko kwenye jokovu wao kuzidi kuongezea wengine pressure badala ya kuomboleza!!!
 
Hiyo ndo Chadema na Ukawa tunajua tunachokifanya kinaeleweka na Watz wanakiunga mkono hapo hakuna kusombwa na malori wala kuhongwa wali maharage, wao wenyewe wanahitaj mabadiliko na ndio mtu yupo tayar asile mchana akasikilize sera nzur ili nae akamuelimishe yule ambaye alipotea, Ikulu hiyoooooo na tunamaanisha kwl Oct UKAWA tunashika Nchii hii ndan ya miaka mi5 tu hakika Watz watesema cku zote tulikuwa wp jaman haya maccm walifilisi Nchi hii zaid ya Miaka 52.
 
ccm hatashinda tena maneno ya
 

Attachments

  • 1433341723069.jpg
    1433341723069.jpg
    27.6 KB · Views: 259

Similar Discussions

Back
Top Bottom