CHADEMA yasambaratika Sengerema

CHADEMA yasambaratika Sengerema

hawa tunaopokea wasiwe chanzo cha migogoro ndani ya chama ,pia wasitumike kutugombanisha na mwisho kuhalalisha matokeo mabovu ya kukubali kshindwa bila kuhoji mahakamani .

tuwemakini watatumika kutudhoofidha, hawana uchungu na chama hawa hawajalelewa katika na vuguvugu la mabadiliko na mageuzi

Ndoa ya Lowassa na 4um kwa upande mmoja na Mbowe na genge lake itavunjika rasmi trh 27-10-2015 baada ya matokeo ya aina yoyote.... Kushinda au kushindwa. Ndoa ya mashaka
 
Hao watu mbona hawajazi hata robo ya uwanja wa taifa. Uwanja wa taifa ukijaa ni watu 60,000 sasa hawa ni kama robo ya uwanja wa taifa ni watu 25,000 waliojiandikisha kupiga kura kwa dar ni watu 2.3m. Sasa ni upuuzi kufikiria hawa majobless ndio population ya wapiga kura wote. Wapiga ura wengi hatuna muda wa kwenda kwenye maandamano. Tuna shughuli zetu. Hesabu zilivyo inaelekea wazi magufuli atashinda kwa kura nyingi.
 
Tarehe 17/8
Old story!Tabasamu anashinda pingamizi lake week hii na anamuondoka Ngeleja kiurahisi mno
Kama hutaki kanywe juisi ya malimau
 
Uno waita jobles nina uwezo wa kukulisha mwezi mzima unajiliwaza tu lazima mpigike tu.
 
Hao watu mbona hawajazi hata robo ya uwanja wa taifa. Uwanja wa taifa ukijaa ni watu 60,000 sasa hawa ni kama robo ya uwanja wa taifa ni watu 25,000 waliojiandikisha kupiga kura kwa dar ni watu 2.3m. Sasa ni upuuzi kufikiria hawa majobless ndio population ya wapiga kura wote. Wapiga ura wengi hatuna muda wa kwenda kwenye maandamano. Tuna shughuli zetu. Hesabu zilivyo inaelekea wazi magufuli atashinda kwa kura nyingi.

Endelea kujifariji kwa ndoto za mchana
 
Mlikuwa mnalia kwenye radio clouds watu wa sengerema.....sasa mko wapi
 
Aliyekuwa mgombea wa ubunge katika kura za maoni ndugu Tabasamu amerejea CCM pamoja na mwenyekiti wa CHADEMA Sengerema.

Kazi ndo kwanza haijaanza

Kwa sasa uongozi wote wa juu Chadema uko bize kusafisha ufisadi wa Lowassa, majimboni hali ni mbaya na kumekosa usimamizi, kama haitaangaliwa kunakupoteza majimbo mengi. mfano ni angalia haya yanayoendelea katika jimbo la mbalali.

https://www.facebook.com/photo.php?...793.1073741825.100004943652976&type=1&theater
 
'Akishushwa MALAIKA MTAKATIFU SANA toka mbunguni akae ccm japo kwa wiki 4 akija kuchukuliwa tayari atakuwa ameshakuwa SHETANI' By Mh. Mbowe
 
Back
Top Bottom