CHADEMA yasambaratika Sengerema

CHADEMA yasambaratika Sengerema

hawa tunaopokea wasiwe chanzo cha migogoro ndani ya chama ,pia wasitumike kutugombanisha na mwisho kuhalalisha matokeo mabovu ya kukubali kshindwa bila kuhoji mahakamani .

tuwemakini watatumika kutudhoofidha, hawana uchungu na chama hawa hawajalelewa katika na vuguvugu la mabadiliko na mageuzi
 
tukiachilia mbal wale walioleta kadi za ccm!
kuna wale ambao wamehama kimya kimya.. sasa hili ndo kundi kubwa kabisaaa.
nahisi tutakuwa tumeshapokea zaid ya member wa ccm 6000000
 
Tehetehetehetehe. Subiri Muziki wa Magufuli.

Tusubiri mziki upi wa kuja kujitambulisha tena mwz au wa kampeni. Najua mtasomba watu ili eti kumfunika lowasa, mnajisumbua bure tu
. Mikutano yenu mnatumia nguvu na pesa nyingi kuandaa ie matangazo ya tvs, radio, magazeti, malori na magari ya matangazo kibao. Sie ukawa ni mitandao ya kijamii tu halafu mwitikio ni mkubwa kuliko matangazo.
 
Hahaaa...kumbe bado chadema ipo mbona ccm walisema imekufa....
 
Aliekua mgombea wa ubunge katika kura za maoni ndugu Tabasamu amerejea CCM pamoja na mwenyekiti wa CHADEMA Sengerema.
Kazi ndo kwanza haijaanza

Acha uongo wewe kimtu. Jana tu tulikuwa nae kwenye mkutano uwanja wa furahisha Mwanza na kwenye chakula cha viongozi hoteli ya gold crest. Tabasamu hawezi rudia hayo matapishi! Alitoka CCM bila woga hata wakati hatukuwa na huakika wa kuchukua nchi aje arudi sasa wakati CCM mko hoi tabani? Jiandae tu kisaikologia kuwa mpinzani.
 
Kwenye mhadhara wa kwaya hata Waislam wapo naikifika muda wa ibada kila mtu anaingia kwenye Sinagogi lake take care 4dat
 
Tusubiri mziki upi wa kuja kujitambulisha tena mwz au wa kampeni. Najua mtasomba watu ili eti kumfunika lowasa, mnajisumbua bure tu
. Mikutano yenu mnatumia nguvu na pesa nyingi kuandaa ie matangazo ya tvs, radio, magazeti, malori na magari ya matangazo kibao. Sie ukawa ni mitandao ya kijamii tu halafu mwitikio ni mkubwa kuliko matangazo.

Mwitikio wa vibaka mpaka mnawaahidi kuwatoa vibaka wenzao magereza.
 
Sasa kumbe alikuwa mgombea mbona kawaida sana
 
Kura ndo mpango mzima. Tusubiri tuone maana bado October haijafika. Chochote kinaweza kutokea kipindi hiki. Mioyo ta watu inaweza kubadilika hivyo bado muda upo.
 
Back
Top Bottom