Chadema yapukutika Jordan Uniersity College

Jul 12, 2013
10
0
Kazi ya kuvua magwanda na kuvaa uzalendo inaendelezwa kwa kasi na makada wa ccm waakiongozw na Lyotela na Clovera. wamefanikiwa kuivunja chadema kwa kuzoa viongoz waake akiwamo aaliyekuwaa mwenyekiti wa tawi ndg. Newton Chamkongo. vivaa comrades
 
kazi ya kuvua magwanda na kuvaa uzalendo inaendelezwa kwa kasi na makada wa ccm waakiongozw na lyotela na clovera. Wamefanikiwa kuivunja chadema kwa kuzoa viongoz waake akiwamo aaliyekuwaa mwenyekiti wa tawi ndg. Newton chamkongo. Vivaa comrades

ngonjera zingine bwana
 
Wana maamuzi waache tu ila najua baada ya muda watajuta kama wameondoka kwa makelele maana watataka kurudi ila sasa itakuwa shida .Hawajachukua chao kweli hao watoto ?
 
Aliondoka Zitto, itakuwa hao? Muulize Lukosi huko UK, ndiyo kwanza Chadema inazidi kupaa.... CCM USA nako chali.....
 
Wana maamuzi waache tu ila najua baada ya muda watajuta kama wameondoka kwa makelele maana watataka kurudi ila sasa itakuwa shida .Hawajachukua chao kweli hao watoto ?

Aluekwambia chadema kitakuja juu tena nani??muendekeze uchaga na udini unadhani Mungu atakuwa pamoja na nyinyi???labda yesu arejee duniani
 
Kazi ya kuvua magwanda na kuvaa uzalendo inaendelezwa kwa kasi na makada wa ccm waakiongozw na Lyotela na Clovera. wamefanikiwa kuivunja chadema kwa kuzoa viongoz waake akiwamo aaliyekuwaa mwenyekiti wa tawi ndg. Newton Chamkongo. vivaa comrades[h=2]Jordan Uniersity College[/h]

[h=2]Hata aibu tu! Umekushinda! lakini ni bora kuficha ujinga na hasa kama hujaelimika pamoja na kwamba uko chuoni!
[/h]Mbaya zaidi unaidhalilisha hicho Chuo kwa kuitaja jina! Hivi kwa akili yako CCM kuna uzalendo!
 
Kazi ya kuvua magwanda na kuvaa uzalendo inaendelezwa kwa kasi na makada wa ccm waakiongozw na Lyotela na Clovera. wamefanikiwa kuivunja chadema kwa kuzoa viongoz waake akiwamo aaliyekuwaa mwenyekiti wa tawi ndg. Newton Chamkongo. vivaa comrades

ni kweli mkuu haule picha za tukio ninazo mi chesko kiongozi wa vijana jordan pia nilishuhudia kitu hiyo katika ukumbi wa vijana sosho ntaatach ili wapinzani wajionee kazi ilivyofanyika
 
Vijan vaeni uzalendo muda wa magwanda umeisha.... Chama gani kina viongozi mamburula kiasi hiki...
 
Mkuu; zitto anaweza kuingia kwenye uzi huu kimantiki kweli? .

Ccm sina ham nao.jpg
 
Hiyo Jordan University iko nchi gani?? Mnaoenda huku mna Division ngapi??

Sijawahi kuisikia hiyo kitu inaitwa Jordan, nijuavyo mimi Jordan ni basi fulani bovu bovu la Mwanza Arusha.

Huu muhemko wa Zitto sasa hivi tutasikia shule za msingi na chekechea zinatoa matamko ya viongozi wa CDM huko kujitoa kumfuata Muua Panya. Mwigulu si ndio mratibu, tuone kama mtapata tamko moja kila siku hadi 2015
 
Back
Top Bottom