Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
- Thread starter
- #21
Big up kamanda ! Mfikishie Rogerz ujumbe huu, mavuno ni mengi mno Nkome but hakuna wavunaji, njooni huku tufungue ofsi, mabalozi wa ccm hawapo tena. Mola awa tangulie ktk harakat za ukomboz wa pili wa Taifa letu.
Pamoja sana kamanda na ujumbe utafika na Nkome tutakuja.