ubunge jimbo la Geita kupitia chadema laumiza vicha watia nia nijimbo ambalo hadi sasa linawatia nia zaidi ya kumi ila kunabaadhi niliopata majina yao japokua ni jina moja moja wakwanza ndg. MANGILIMA wa pili ni ndg OPULUKWA wa tatu ni ndg MISALABA wa nne ni ndg SUKAMBI wa tano ni ndg JAPHETY wa sita yule anaelitetea jimbo hilo aliwahi kugombea 2010 anaitwa bwana ROGERS LUHEGA wengine bado sijapata majina yao