CHADEMA yapata pigo, Chage Alex Chage ajiunga CCM

Mama samia namna iyo co vizuri, ona sasa wanahama na kuhamia kwako,,mpaka ifike 2025 watakua washaisha, atabaki mbowe peke yake 😁

Saamia saleh hassan, Mungu akuongoze na akufanyie wepesi katika shughuli zako.
 
Back
Top Bottom