G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,880
Halafu JIWE alivyofariki mbona hamkuandika kuwa CCM YAPATA PIGO? Au hamjui kuwa Jiwe alishakufaga siku 60 zilizopita!Kufika 2025 hakuna Chadema. Itabaki JF tu!
Halafu JIWE alivyofariki mbona hamkuandika kuwa CCM YAPATA PIGO? Au hamjui kuwa Jiwe alishakufaga siku 60 zilizopita!Kufika 2025 hakuna Chadema. Itabaki JF tu!
Ni kweli nchi inahitaji upinzani imara, lakini sio huu wa kipumbavu wa Chadema.Hivi nyie mabumunda ya ccm mnadhani nchi isipokuwa na upinzani imara,mambo yataenda?
Miaka 5 ndani ya Bunge na maslahi yake si haba!Nawapongeza sana wale19
Siku mkirudishwa kwenu Burundi ni ndiyo mtajua kuwa CDM ilikuwa ni mtetezi wenuKufika 2025 hakuna Chadema. Itabaki JF tu!
Mushuti wa NgaraKufika 2025 hakuna Chadema. Itabaki JF tu!
Thanks fella!GOOD FOR YOU ,THEN
Shaka alikimbia kutoka Mombasa usikuCheo chake ni mwanachama wa CDM ? Anapokelewa na Mwenyekiti wa CCM mkoa?
Tuondolee upuuzi hapa, akili za Shaka ni ndogo kama za Mwenyekiti wake.
Ccm ndiyo kwenye kiota cha wanunuzi wa watu wenye njaaaBiashara ya utumwa bado inaendelea? nani ana finance??
HawajitambuiCDM bado inawapa shida sana mbogamboga
Yeah, itadumu milele. Hata NLD ya Mzee Makaidi (RIP) ipo hadi leo!CHADEMA ilikuwepo kabla ya JF, itadumu milele
Mwendazake aijitapa ataiua chadema 🤣🤣🤣Kufika 2025 hakuna Chadema. Itabaki JF tu!
MATAGA na sukuma gang wameishia tu kulinda kaburiNdiyo nani huyo? Mwambieni aunge juhudi za moja kwa moja kwenda kuwa mpambe wa Jiwe kwenye kampeni za kuwania ukuu wa malaika. Mwenzenu kule anasafa analalamika mumeishia njiani kuunga mkono juhudi. Siyo poa mjue!
YES FOLKThanks fella!
Acha kuifananisha CHADEMA na vyama vya kimkakati vilivyoasisiwa na CCMYeah, itadumu milele. Hata NLD ya Mzee Makaidi (RIP) ipo hadi leo!
Chama cha ununuzi wa binadamu wenye njaa na tamaa.Huyu hana bei, maana ndiyo kauli zenu!
MATAGA hawana lingine zaidi ya kuandika upupu tuJamani hizi habati manzoziandika baada ya kunywa K-Vant ni hatari,nilijua kuna kiongozi amefariki!
Jiwe aliishafariki ila legacy yake ipo Jana, leo na kesho! Kingine?Halafu JIWE alivyofariki mbona hamkuandika kuwa CCM YAPATA PIGO? Au hamjui kuwa Jiwe alishakufaga siku 60 zilizopita!
Hawana akili hao ndiyo maana wengi wao ni masikini wa kutupwa .Hivi nyie mabumunda ya ccm mnadhani nchi isipokuwa na upinzani imara,mambo yataenda?
Mimi ni Mtanzania "akara n'akarenge"!Siku mkirudishwa kwenu Burundi ni ndiyo mtajua kuwa CDM ilikuwa ni mtetezi wenu