Chadema Yapandisha Bendera Kituo cha Polisi

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
557
Reaction score
518

Baada ya Chadema Kuchoma Kituo cha Polisi Nyankumbu mkoani Geita, leo CHADEMA wameamua kupandisha bendera yao mbele ya kituo hiko cha polisi katika mlingoti unaopandishwa bendera ya Jeshi la Polisi.

Hii ni Ishara kuwa Chadema wamedharau jeshi la Polisi na sasa wamedhamiria kuteka, kulipua na kuchoma vituo vyote vya polisi nchini ili waweze kupandisha bendera zao.

TUWE MACHO
 
Taarifa nzuri, ila maelezo yanaonesha unamatatizo akili na mwili.
 
Samahani mleta taarifa/habari hii. Je kitu gani kinaweza kutuhakikishia kwamba hao wanaopandisha bendera ya chadema kuwa ni chadema?
Tafadhari uongezee nyama kidogo kwenye hii habari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…