kwanza hiyo bendera hapo ilipo nahisi ni UCHAGANI!!
halafu wenzako wataishia kukupa moyo na hongera kwa matembezi, wao wanasaka ugali wa watoto na mademu wao halafu jioni tunakutana paleeee msimbazi center kupata KITIMOTO ROAST NA NDIZI KADHAA HUKU TUKISUKUMIA NA TUSKER BARIIIIIIIIIIIIIIIIIDDD
Baada ya kumaliza kadigrii kangu Mtwara sasa niko kijijin Itumbiko wilaya mpya Kakonko-Kigoma na ninafanya kazi ya kuongeza wanachama wa CHADEMA kama ifuatatavyo;
1. Kutembelea nyumba hadi nyumba na kijiji hadi kijiji kueleza ubaya wa CCM, reference Mtwara
2. Kuanzisha ligi ya mpira wa miguu sh.50000 itaanza August mwishoni
3.Kutafuta support ya vijana kwenda hospitalini kufanya usafi
4. kubadilishana mawazo na wanabodaboda na vijiwe vya kahawa about CHADEMA NAMNA YA KUFANIKISHA HAYA.
Nitatumia 20% ka salary Kabla sijaenda kazini mwezi wa 12 b'se kalikizo kangu kanaisha mwezi wa 11
USHAURI KWA MAKAMANDA
Kwa wale ambao tumetoka vyuoni tujitahidi kwenda vijijini kuhamasisha, silazima iwe mikutano tu b'se wazee wengi
hawahudhurii mikutano.
OMBI
Makamanda tembeleeni mkoa wa kigoma b'se ni miaka mingi hamji huku kwani hapa mudi ya watu ni zaidi ya Arusha .
Mungu ibariki Tanzania.
Naomba kuwasilisha.
kwanza hiyo bendera hapo ilipo nahisi ni UCHAGANI!!
halafu wenzako wataishia kukupa moyo na hongera kwa matembezi, wao wanasaka ugali wa watoto na mademu wao halafu jioni tunakutana paleeee msimbazi center kupata KITIMOTO ROAST NA NDIZI KADHAA HUKU TUKISUKUMIA NA TUSKER BARIIIIIIIIIIIIIIIIIDDD
baada ya kumaliza kadigrii kangu mtwara sasa niko kijijin itumbiko wilaya mpya kakonko-kigoma na ninafanya kazi ya kuongeza wanachama wa chadema kama ifuatatavyo;
1. Kutembelea nyumba hadi nyumba na kijiji hadi kijiji kueleza ubaya wa ccm, reference mtwara
2. Kuanzisha ligi ya mpira wa miguu sh.50000 itaanza august mwishoni
3.kutafuta support ya vijana kwenda hospitalini kufanya usafi
4. Kubadilishana mawazo na wanabodaboda na vijiwe vya kahawa about chadema namna ya kufanikisha haya.
Nitatumia 20% ka salary kabla sijaenda kazini mwezi wa 12 b'se kalikizo kangu kanaisha mwezi wa 11
ushauri kwa makamanda
kwa wale ambao tumetoka vyuoni tujitahidi kwenda vijijini kuhamasisha, silazima iwe mikutano tu b'se wazee wengi hawahudhurii mikutano.
Ombi
makamanda tembeleeni mkoa wa kigoma b'se ni miaka mingi hamji huku kwani hapa mudi ya watu ni zaidi ya arusha .
Mungu ibariki tanzania.
Naomba kuwasilisha.
Matembezi mema
Baada ya kumaliza kadigrii kangu Mtwara sasa niko kijijin Itumbiko wilaya mpya Kakonko-Kigoma na ninafanya kazi ya kuongeza wanachama wa CHADEMA kama ifuatatavyo;
1. Kutembelea nyumba hadi nyumba na kijiji hadi kijiji kueleza ubaya wa CCM, reference Mtwara
2. Kuanzisha ligi ya mpira wa miguu sh.50000 itaanza August mwishoni
3.Kutafuta support ya vijana kwenda hospitalini kufanya usafi
4. kubadilishana mawazo na wanabodaboda na vijiwe vya kahawa about CHADEMA NAMNA YA KUFANIKISHA HAYA.
Nitatumia 20% ka salary Kabla sijaenda kazini mwezi wa 12 b'se kalikizo kangu kanaisha mwezi wa 11
USHAURI KWA MAKAMANDA
Kwa wale ambao tumetoka vyuoni tujitahidi kwenda vijijini kuhamasisha, silazima iwe mikutano tu b'se wazee wengi hawahudhurii mikutano.
OMBI
Makamanda tembeleeni mkoa wa kigoma b'se ni miaka mingi hamji huku kwani hapa mudi ya watu ni zaidi ya Arusha .
Mungu ibariki Tanzania.
Naomba kuwasilisha.
kamanda pa1 sana yani huku mababu, kisyosyo ngyekye yote kazi kwisha na kata ya matema kwa ujumla tunasubili siku ya kuapishwa makanda wa cdm kwani mwakyembe ametuongopea vya kutosha na zao letu kuu la kokoa linazidi kupoteza thamani. Viva cdmtena vijijini ccm ikifa haitaweza kurudi ! Mimi nimefanya yangu kyela , tena kwa mafanikio makubwa ! Japo kuna mtu alikurupa kwenda kugawa bodaboda .
kamanda pa1 sana yani huku mababu, kisyosyo ngyekye yote kazi kwisha na kata ya matema kwa ujumla tunasubili siku ya kuapishwa makanda wa cdm kwani mwakyembe ametuongopea vya kutosha na zao letu kuu la kokoa linazidi kupoteza thamani. Viva cdm
wakati ukifika nitakufahamisha , umoja ni nguvu , cdm tunahitaji sana ushirikiano wa kila mpenda mabadiliko .
Umenielimisha na mimi naslekea kuelimisha wengine mamia, tupo na Mola.......Baada ya kumaliza kadigrii kangu Mtwara sasa niko kijijin Itumbiko wilaya mpya Kakonko-Kigoma na ninafanya kazi ya kuongeza wanachama wa CHADEMA kama ifuatatavyo; 1. Kutembelea nyumba hadi nyumba na kijiji hadi kijiji kueleza ubaya wa CCM, reference Mtwara 2. Kuanzisha ligi ya mpira wa miguu sh.50000 itaanza August mwishoni 3.Kutafuta support ya vijana kwenda hospitalini kufanya usafi 4. kubadilishana mawazo na wanabodaboda na vijiwe vya kahawa about CHADEMA NAMNA YA KUFANIKISHA HAYA. Nitatumia 20% ka salary Kabla sijaenda kazini mwezi wa 12 b'se kalikizo kangu kanaisha mwezi wa 11 USHAURI KWA MAKAMANDAKwa wale ambao tumetoka vyuoni tujitahidi kwenda vijijini kuhamasisha, silazima iwe mikutano tu b'se wazee wengi hawahudhurii mikutano. OMBIMakamanda tembeleeni mkoa wa kigoma b'se ni miaka mingi hamji huku kwani hapa mudi ya watu ni zaidi ya Arusha . Mungu ibariki Tanzania. Naomba kuwasilisha.
kamanda pa1 sana yani huku mababu, kisyosyo ngyekye yote kazi kwisha na kata ya matema kwa ujumla tunasubili siku ya kuapishwa makanda wa cdm kwani mwakyembe ametuongopea vya kutosha na zao letu kuu la kokoa linazidi kupoteza thamani. Viva cdm