Heart Wood.
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 990
- 1,190
chadema.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo.
chadema.
ebu tuwekee hapa ukweli ni upi kule sumbawanga?
kwa hali hii kama ni kweli lazima ccm wameaacha plan A ya kupiga kampeni kubwa kutumia mahelicopter ya bluu, na kwenda plan B ambayo ni kuhahikisha wanabaki madarakani na kuunda serkali ya mseto hata kama wasipopata kura hata moja. watawatumia wajinga wao TISS na policcm kukamilisha haya yote. kwisheney checheemuNimeikuta whatsapp kwenye group moja linaitwa ccm vs ukawa! Na wanaccm wapo kimya kama kuna mwenye hizi habari tiririke wandugu!
Matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa baada ya marudio ya uchaguzi.
1: Sengerema mitaa 21, ccm5,chadema15.
2:Magu mitaa18, ccm4,chadema14.
3: Ilemela, mitaa189, ccm29,cuf3, UDP2,chadema155.
4:Nyamagana mitaa175, ccm32, Chadema142.
5:Busega vijiji32, ccm5,chadema27.
6:Bariadi vijijini, vijiji 49, ccm8,Chadema41.
7:Morogoro mjini, mitaa168, ccm45, Chadema 123.
8:Singida mashariki, vijiji140, ccm22, Chadema118.
9:Musoma mjini, mitaa 179, Ccm 0, Chadema 179.
10:Bunda, vijiji 119, ccm7,chadema 112.
11:Tarime, vijiji116, ccm24,chadema92.
12:Ukerewe, vijiji76, ccm23,Cuf3,Chadema50
ongezea na vat69kwa hiyo ni matokeo ya kweli haya niagize wine?
Nimeikuta whatsapp kwenye group moja linaitwa ccm vs ukawa! Na wanaccm wapo kimya kama kuna mwenye hizi habari tiririke wandugu!
Matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa baada ya marudio ya uchaguzi.
1: Sengerema mitaa 21, ccm5,chadema15.
2:Magu mitaa18, ccm4,chadema14.
3: Ilemela, mitaa189, ccm29,cuf3, UDP2,chadema155.
4:Nyamagana mitaa175, ccm32, Chadema142.
5:Busega vijiji32, ccm5,chadema27.
6:Bariadi vijijini, vijiji 49, ccm8,Chadema41.
7:Morogoro mjini, mitaa168, ccm45, Chadema 123.
8:Singida mashariki, vijiji140, ccm22, Chadema118.
9:Musoma mjini, mitaa 179, Ccm 0, Chadema 179.
10:Bunda, vijiji 119, ccm7,chadema 112.
11:Tarime, vijiji116, ccm24,chadema92.
12:Ukerewe, vijiji76, ccm23,Cuf3,Chadema50
Ya sumbawanga yalikuwa hivi;
,
CHADEMA-39,
CCM-4
Mtaa mmoja umewekewa kipingamizi. Jumla ni mitaa 44 katika kata tatu.
Why hayamo kwenye post iyo?
mkuu mtanipeleka mgombani nikiwa mfuongezea na vat69
Nimeikuta whatsapp kwenye group moja linaitwa ccm vs ukawa! Na wanaccm wapo kimya kama kuna mwenye hizi habari tiririke wandugu!
Matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa baada ya marudio ya uchaguzi.
1: Sengerema mitaa 21, ccm5,chadema15.
2:Magu mitaa18, ccm4,chadema14.
3: Ilemela, mitaa189, ccm29,cuf3, UDP2,chadema155.
4:Nyamagana mitaa175, ccm32, Chadema142.
5:Busega vijiji32, ccm5,chadema27.
6:Bariadi vijijini, vijiji 49, ccm8,Chadema41.
7:Morogoro mjini, mitaa168, ccm45, Chadema 123.
8:Singida mashariki, vijiji140, ccm22, Chadema118.
9:Musoma mjini, mitaa 179, Ccm 0, Chadema 179.
10:Bunda, vijiji 119, ccm7,chadema 112.
11:Tarime, vijiji116, ccm24,chadema92.
12:Ukerewe, vijiji76, ccm23,Cuf3,Chadema50
hahahaaaaaaa! Pasco andaa wasifu wa marehemu Dec.2015 usomwe rasmi lakini Dondoo hizi ni muhimu;
- 'ugonjwa uliosabbisha kifo chake'
- Mwenendo wake 'alipokua hai'
- Uadilifu/ wizi 'alipokuwa hai'
- Ushirikiano na wenzake!
Weita......... Njoo upande huu wasikilize na wale Jamaa pale,maana kwa macho tu wanaonekana ni CHADEMA.........hao wazee hapo waruke.......huo ushindi lazima Nape aseme hajapata matokeo.
Huo uchaguzi ulifanyika lini?.