Kizimbuzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 1,569
- 745
Hujanielewa, ninaposema chanzo rasmi, habari inaweza kuwa ipo JF sawa, lakini ni nani mleta habari. Maana kwa matokeo ya uchaguzi aliyetakiwa kuyatangaza ni Tume ya Uchaguzi na sio mwananchi aliye eneo husika kutuletea habari hiyo. Huo ndio u-rasmi ninaouzungumzia
Wewe gublod, Tume ya Uchaguzi haina mamlaka na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Wakurugenzi wa Halmashauri ndiyo wasimamizi, ila si Tume. Sawa!
Last edited by a moderator: