hilo ndio kosa kubwa sana la ccm kujitabiria ushindi ndio maana kwenye mechi kati ya simba na yanga wana yanga wengi wanazimiaga matokeo yanapokuwa tofauti, tafadhali usijiweke kwenye hilo kundi
Nawapongeza CHADEMA Taifa, Kanda na Mitaa kwa kazi nzuri. Huu ni mwanzo kuelekea kule ambako kila raia mwema anatamani Tanzania ifike. Nawapongeza kwa dhati wapiga kura wote wa maeneo hayo, bravo!
hayo matokeo nami siyaamini ingawa najua huku usukumani ccm ilishajifia siku nyingi mfano magufuri ameweka rami na taa mitaa yote hapa chato mjini lakin matokeo chadema viti 15 na ccm viti 5 hivyo magufuri hapa kawa mpinzani yuko chini ya chadema
Nimeikuta whatsapp kwenye group moja linaitwa ccm vs ukawa! Na wanaccm wapo kimya kama kuna mwenye hizi habari tiririke wandugu!
Matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa baada ya marudio ya uchaguzi.
1: Sengerema mitaa 21, ccm5,chadema15.
2:Magu mitaa18, ccm4,chadema14.
3: Ilemela, mitaa189, ccm29,cuf3, UDP2,chadema155.
4:Nyamagana mitaa175, ccm32, Chadema142.
5:Busega vijiji32, ccm5,chadema27.
6:Bariadi vijijini, vijiji 49, ccm8,Chadema41.
7:Morogoro mjini, mitaa168, ccm45, Chadema 123.
8:Singida mashariki, vijiji140, ccm22, Chadema118.
9:Musoma mjini, mitaa 179, Ccm 0, Chadema 179.
10:Bunda, vijiji 119, ccm7,chadema 112.
11:Tarime, vijiji116, ccm24,chadema92.
12:Ukerewe, vijiji76, ccm23,Cuf3,Chadema50
The website is intended to be a Comprehensive Resource Centre for Tanzania Election. It is also expected to reflect the Commission'broad vision of moving into the Internet way of computing for activities connected with elections and major electoral events.
The overall objective of this website is to serve as a portal for disseminating information relating to the roles and functions of the NEC, election procedures and the like meant to ensure that the elections are free and fair.
It is our hope that, to that extent, the website will be an integral part of the overall management strategy of the Commission.
Nimeikuta whatsapp kwenye group moja linaitwa ccm vs ukawa! Na wanaccm wapo kimya kama kuna mwenye hizi habari tiririke wandugu!
Matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa baada ya marudio ya uchaguzi.
1: Sengerema mitaa 21, ccm5,chadema15.
2:Magu mitaa18, ccm4,chadema14.
3: Ilemela, mitaa189, ccm29,cuf3, UDP2,chadema155.
4:Nyamagana mitaa175, ccm32, Chadema142.
5:Busega vijiji32, ccm5,chadema27.
6:Bariadi vijijini, vijiji 49, ccm8,Chadema41.
7:Morogoro mjini, mitaa168, ccm45, Chadema 123.
8:Singida mashariki, vijiji140, ccm22, Chadema118.
9:Musoma mjini, mitaa 179, Ccm 0, Chadema 179.
10:Bunda, vijiji 119, ccm7,chadema 112.
11:Tarime, vijiji116, ccm24,chadema92.
12:Ukerewe, vijiji76, ccm23,Cuf3,Chadema50
Mimi ni CDM damu, lakini sidhani kama haya matokeo ni ya kweli. Lazima yangekuwa yamesharipotiwa na chombo kimojawapo cha habari, mfano magazeti na redio. Morogoro mjini kwa mfano hicho kitu hakipo na mimi naishi hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.