Mbona tume ya uchaguzi haiongelei kabisa haya matokeo. Maana mimi ninayapata kupitia katika vyanzo ambavyo sio rasmi tu
Jf ni chanzo rasmi, au wewe ndio sio rasmi
CHADEMA inazidi kuwa tamu zaidi ya mcharo...
Matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa baada ya marudio ya uchaguzi.
1: Sengerema mitaa 21, ccm5,chadema15.
2:Magu mitaa18, ccm4,chadema14.
3: Ilemela, mitaa189, ccm29,cuf3, UDP2,chadema155.
4:Nyamagana mitaa175, ccm32, Chadema142.
5:Busega vijiji32, ccm5,chadema27.
6:Bariadi vijijini, vijiji 49, ccm8,Chadema41.
7:Morogoro mjini, mitaa168, ccm45, Chadema 123.
8:Singida mashariki, vijiji140, ccm22, Chadema118.
9:Musoma mjini, mitaa 179, Ccm 0, Chadema 179.
10:Bunda, vijiji 119, ccm7,chadema 112.
11:Tarime, vijiji116, ccm24,chadema92.
12:Ukerewe, vijiji76, ccm23,Cuf3,Chadema50
Mbona tume ya uchaguzi haiongelei kabisa haya matokeo. Maana mimi ninayapata kupitia katika vyanzo ambavyo sio rasmi tu
Hujanielewa, ninaposema chanzo rasmi, habari inaweza kuwa ipo JF sawa, lakini ni nani mleta habari. Maana kwa matokeo ya uchaguzi aliyetakiwa kuyatangaza ni Tume ya Uchaguzi na sio mwananchi aliye eneo husika kutuletea habari hiyo. Huo ndio u-rasmi ninaouzungumzia
CHADEMA inazidi kuwa tamu zaidi ya mcharo...
Matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa baada ya marudio ya uchaguzi.
1: Sengerema mitaa 21, ccm5,chadema15.
2:Magu mitaa18, ccm4,chadema14.
3: Ilemela, mitaa189, ccm29,cuf3, UDP2,chadema155.
4:Nyamagana mitaa175, ccm32, Chadema142.
5:Busega vijiji32, ccm5,chadema27.
6:Bariadi vijijini, vijiji 49, ccm8,Chadema41.
7:Morogoro mjini, mitaa168, ccm45, Chadema 123.
8:Singida mashariki, vijiji140, ccm22, Chadema118.
9:Musoma mjini, mitaa 179, Ccm 0, Chadema 179.
10:Bunda, vijiji 119, ccm7,chadema 112.
11:Tarime, vijiji116, ccm24,chadema92.
12:Ukerewe, vijiji76, ccm23,Cuf3,Chadema50
CHADEMA inazidi kuwa tamu zaidi ya mcharo...
Matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa baada ya marudio ya uchaguzi.
1: Sengerema mitaa 21, ccm5,chadema15.
2:Magu mitaa18, ccm4,chadema14.
3: Ilemela, mitaa189, ccm29,cuf3, UDP2,chadema155.
4:Nyamagana mitaa175, ccm32, Chadema142.
5:Busega vijiji32, ccm5,chadema27.
6:Bariadi vijijini, vijiji 49, ccm8,Chadema41.
7:Morogoro mjini, mitaa168, ccm45, Chadema 123.
8:Singida mashariki, vijiji140, ccm22, Chadema118.
9:Musoma mjini, mitaa 179, Ccm 0, Chadema 179.
10:Bunda, vijiji 119, ccm7,chadema 112.
11:Tarime, vijiji116, ccm24,chadema92.
12:Ukerewe, vijiji76, ccm23,Cuf3,Chadema50
You r right mkuu, haya matokeo yanayotoka Ijumaa...mmmhhh
wakishamaliza kushangaa na kuwazika /kuuguza wenzao waliopatwa na mashinikizo ya damu ghafla watazungumzia tu!Mbona tume ya uchaguzi haiongelei kabisa haya matokeo. Maana mimi ninayapata kupitia katika vyanzo ambavyo sio rasmi tu
Haya matokeo si rasmi mpaka Nape ayaone kwanza.
CHADEMA inazidi kuwa tamu zaidi ya mcharo...
Matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa baada ya marudio ya uchaguzi.
1: Sengerema mitaa 21, ccm5,chadema15.
2:Magu mitaa18, ccm4,chadema14.
3: Ilemela, mitaa189, ccm29,cuf3, UDP2,chadema155.
4:Nyamagana mitaa175, ccm32, Chadema142.
5:Busega vijiji32, ccm5,chadema27.
6:Bariadi vijijini, vijiji 49, ccm8,Chadema41.
7:Morogoro mjini, mitaa168, ccm45, Chadema 123.
8:Singida mashariki, vijiji140, ccm22, Chadema118.
9:Musoma mjini, mitaa 179, Ccm 0, Chadema 179.
10:Bunda, vijiji 119, ccm7,chadema 112.
11:Tarime, vijiji116, ccm24,chadema92.
12:Ukerewe, vijiji76, ccm23,Cuf3,Chadema50
Kinana kinasema haya matokeo hatuyakubali kwa sababu hayaendani na matokeo ya uchaguzi uliopita!! Maccm bwana!!