Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 36,410
- 60,822
Mawakala wenu wanakiona cha mtema kuniChadema kwa sasa ni dictatorship of the majority
Mawakala wenu wanakiona cha mtema kuniChadema kwa sasa ni dictatorship of the majority
Kuna anayejua makali ya panga na shoka la mtema kuni kama Lissu kwa sasa?Mawakala wenu wanakiona cha mtema kuni
Usiasahau udicteta wa dodomaViongozi wa Chadema ni MADIKTETA
Yuko Celo ametulia zake, anakula bure analala bure na ulinzi juuKuna anayejua makali ya panga na shoka la mtema kuni kama Lissu kwa sasa?
😀😀Usiasahau udicteta wa dodoma
Ngoja awekewe @##+&&@+@ kwenye sakafu, imle pole pole kwa miaka 5 kama Moses TsvangiraiYuko Celo ametulia zake, anakula bure analala bure na ulinzi juu
Duuh we chiembe kuwa makini na kauli zako. Zisije kukucost baadaeNgoja awekewe @##+&&@+@ kwenye sakafu, imle pole pole kwa miaka 5 kama Moses Tsvangirai
Wewe umeelewa nini?Duuh we chiembe kuwa makini na kauli zako. Zisije kukucost baadae
Shauri yako😀Wewe umeelewa nini?
Siyo kwa hayo mapenzi ht Jesca hayuko hivyo.Huyo mtoto uliyezaa na magufuli mpeleke Chato
Aliijenga akiwa kaburini? Au uko naye kuzimu?Unashukuru ukiwa kwenye SGR? Mbwa kabisa
?
Udikteta wa kufanya uasiUsiasahau udicteta wa dodoma
Waongeze fumigation bado kuna chawa malkiaToa uchafu wote
Sasa SGR ni yake?,alinunua kwa pesa zake?Unashukuru ukiwa kwenye SGR? Mbwa kabisa
?
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini kimemvua uongozi mwenyekiti wa chama hicho Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro, Lemburus Mchome leo Jumamosi, Mei 17, 2025.
Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Ndonde Tottinan amethibitisha kuvuliwa uongozi wa Mchome katika kikao cha mashauriano Mkoa wa Kilimanjaro, kilichoketi leo Mei 17, 2025 mjini Moshi.
Mwananchi limemtafuta Mchome kuhusu taarifa hizo ambapo amedai hana taarifa lakini huenda suala hilo likawa kweli kwa kuwa dalili zilianza kuonekana siku nne zilizopita alipoondolewa kwenye makundi sogozi ya WhatsApp kuanzia la Kanda ya Kaskazini, mkoa hadi wilaya.
Mchome amekutana na kadhia hiyo kipindi ambacho amekuwa na migogoro na chama chake hasa baada ya barua ya malalamiko dhidi ya baadhi ya viongozi wa sekretarieti na kamati kuu akidai walipitiswa na Baraza Kuu Januari 22, 2025 likiwa halina akidi.
Malalamiko hayo ambayo aliyawasilisha ndani ya chama chake na nakala kwa msajili, yamefanyiwa kazi na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa ambapo ameitaka Chadema kuitisha Baraza Kuu jipya ili kufanyia kazi upungufu huo.
Chanzo: Mwananchi
Wewe kila siku nakuambia ni mtoto wa vilabuni maana hauna akili!! Yule aliyepinga Samia kujiteua vipi nae kufukuzwa kwake ndani ya CCM taratibu zilifuatwa.wamemvua uanachama the terminator?
wamefuata taratibu za katiba ya chama kweli au wanataka kufurahishwa zaidi?![]()
Jikite kwenye hoja bila mihemko wala makasiriko 🐒Wewe kila siku nakuambia ni mtoto wa vilabuni maana hauna akili!! Yule aliyepinga Samia kujiteua vipi nae kufukuzwa kwake ndani ya CCM taratibu zilifuatwa.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini kimemvua uongozi mwenyekiti wa chama hicho Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro, Lemburus Mchome leo Jumamosi, Mei 17, 2025.
Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Ndonde Tottinan amethibitisha kuvuliwa uongozi wa Mchome katika kikao cha mashauriano Mkoa wa Kilimanjaro, kilichoketi leo Mei 17, 2025 mjini Moshi.
Mwananchi limemtafuta Mchome kuhusu taarifa hizo ambapo amedai hana taarifa lakini huenda suala hilo likawa kweli kwa kuwa dalili zilianza kuonekana siku nne zilizopita alipoondolewa kwenye makundi sogozi ya WhatsApp kuanzia la Kanda ya Kaskazini, mkoa hadi wilaya.
Mchome amekutana na kadhia hiyo kipindi ambacho amekuwa na migogoro na chama chake hasa baada ya barua ya malalamiko dhidi ya baadhi ya viongozi wa sekretarieti na kamati kuu akidai walipitiswa na Baraza Kuu Januari 22, 2025 likiwa halina akidi.
Malalamiko hayo ambayo aliyawasilisha ndani ya chama chake na nakala kwa msajili, yamefanyiwa kazi na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa ambapo ameitaka Chadema kuitisha Baraza Kuu jipya ili kufanyia kazi upungufu huo.
Chanzo: Mwananchi
Dogo huelewi nini? Ccm ndiyo Dola na Dola ni ccm! So, Lissu anapambana na ccm-dola. Ipo?Kwani Lissu anapambana na CCM au anapambana na Vyombo vya Dola? Au huelewi unaongea nini dogo?