PreGE2025 CHADEMA yamburuza Msajili wa Vyama vya Siasa Mahakamani

PreGE2025 CHADEMA yamburuza Msajili wa Vyama vya Siasa Mahakamani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Barua ya Msajili waeijibu kwanza? Maana walikuwa wanazunguka mitaani kwa kauli za kupuuza maelekezo ya Msajili.

Believe Me, hiyo Kesi Mahakama itai struck out, Ili wakajibu barua ya Msajili kwanza.

Yale Yale ya Yanga kwenda CAS Kisha kuambiwa rudini kwanza mkamalize taratibu za ndani.
Hao wako na washauri, wabia, wadhamini, viongozi na wanasheria.

Bila shaka hilo limezingatiwa.

Ukishaona unafanyiwa hujuma waziwazi, lazima utumie akili ya ziada kushughulika na hasimu wako.

Pia lazima muda wote ufikirie na kujiweka hatua mbili tatu mbele yake.
 
Hii ni muhimu sana. wote wanajua umuhimu wake Rugemeleza Nshala Erythrocyte
Kwani Covid 19 waliweka hiyo Injuction? au walikataa rufaa tu?

Double standard ya CCM waliyoifanya kuhusu Covid 19 kwa kuendelea kuwalipa mishahara kama Wabunge kwa miaka 5 ndo hii inaenda kuwarudia kuhusu Chadema na kikaragosi chao Msajili
 
Mtungi hana hata chembe ndogo ya aibu mishipani mwake!

Yeye kitu pekee anachojuwa ni kuwapiga vita CHADEMA hadi wasambaratike! Hana hata chembe ndogo ya kuifikiria Tanzania inavyo najisiwa na Genge la Samia Suluhu Hassan.

Kuna binaadam wa ajabu sana ndani ya nchi hii!
 
Kwenda mahakamani ni kukosa maono na uelewa, lakini pia ni kwenda kujimaliza na kujifedhehesha tu kisiasa.
Kwanini mmewakaimisha nafasi za uongozi, ikiwa walipewa nafasi hizo kihalali na baraza kuu la chadema lililotimiza akidi inayotakiwa kwa mujibu wa kaitba ya chadema January 2025?

Kwanini baraza kuu linaitishwa tena kuja kuwathibitisha hao wanao kaimu nafasi hizo ikiwa walikua ni viongozi walioteuliwa kihalali? Huko si kutekeleza maagizo na maelekezo ya msajili wa vyama vya siasa kiana ndrugo zangu? msione aibu bana:pedroP:

Kwasasa,
chadema ina wewewseka na kutapatapa mno kisiasa kuliko wakati mwingine wowote. Haijui ishike lipi kama agenda yake muhimu au iache lipi. Zaidi sana, mwenyekiti wao anaesota korokoroni sio issue wala agenda tena ndani ya kamati kuu na huenda hoja za kumuengua kabisa kwenye nafasi hiyo zikaanza kuibuka ndani ya chama hicho cha kisiasa kilichopoteza uelekeo nchini.

Una maoni gani kuhusu null and void move ya chadema, kutii na kutekeleza maelekezo ya msajili wa vyama vya siasia na hapo hapo wanaenda mahakamani kuyapinga? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
 
Kwenda mahakamani ni kukosa maono na uelewa, lakini pia ni kwenda kujimaliza na kujifedhehesha tu kisiasa.
Kwanini mmewakaimisha nafasi za uongozi, ikiwa walipewa nafasi hizo kihalali na baraza kuu la chadema lililotimiza akidi inayotakiwa kwa mujibu wa kaitba ya chadema January 2025?

Kwanini baraza kuu linaitishwa tena kuja kuwathibitisha hao wanao kaimu nafasi hizo ikiwa walikua ni viongozi walioteuliwa kihalali? Huko si kutekeleza maagizo na maelekezo ya msajili wa vyama vya siasa kiana ndrugo zangu? msione aibu bana:pedroP:

Kwasasa,
chadema ina wewewseka na kutapatapa mno kisiasa kuliko wakati mwingine wowote. Haijui ishike lipi kama agenda yake muhimu au iache lipi. Zaidi sana, mwenyekiti wao anaesota korokoroni sio issue wala agenda tena ndani ya kamati kuu na huenda hoja za kumuengua kabisa kwenye nafasi hiyo zikaanza kuibuka ndani ya chama hicho cha kisiasa kilichopoteza uelekeo nchini.

Una maoni gani kuhusu null and void move ya chadema, kutii na kutekeleza maelekezo ya msajili wa vyama vya siasia na hapo hapo wanaenda mahakamani kuyapinga? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
Chuo ulichosoma; warudishie cheti chao maana ulitoka mtupu; mweupe. Kwahiyo Chama kutekeleza maagizo ya msajiri Ndiko kuweweseka?. Ulitaka wafanye kinyume chake ili kitokee nini?
 
My Take
Njaa ni mbaya sana ila Kuna nyumbu wanatumiwa kutengenezea maisha wengine.😂😂😂

Tulikubaliana tonetone inatosha ,mahakamani mnaenda kudai ruzuku ya nini Sasa?

Msiposhiriki uchaguzi itakuaje ? 😬😬😬😬👇👇

Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), John Heche amesema chama hicho kinakwenda mahakamani kwa sababu Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imeamua kuzuia ruzuku ya chama hicho.

Heche ameeleza hayo leo Jumatano Juni 4,2025 wakati akisoma maazimio ya kamati kuu ya chama hicho iliyoketi jana kujadili barua ya Ofisi ya Msajili wa Vyama Siasa.

“Sheria ya Vyama vya Siasa anayoisimamia Msajili kifungu cha 18 (6), msajili ana uwezo wa kuzuia ruzuku ya vyama au kwa chama kingine chochote pale ambapo kuna dosari ya Mkaguzi Mkuu na Mdhibiti wa Hesabu ya Serikali (CAG)

Soma Pia: Msajili asitisha ruzuku CHADEMA, atishia kusimamisha shughuli za chama wakiendelea kukaidi na kuwatambua viongozi

“Sasa kama tungekuwa na hati mbaya au… kwa mujibu wa kifungu cha 18 (6) hapo msajili angepata mamlaka ya kuzuia ruzuku, kwa kutuandikia barua na kuonyesha sababu,” amesema Heche.

Hata hivyo, Heche amedai Msajili ameamua kujifanyia kwa kuchukua uamuzi huo, akisema Chadema kinakwenda mahakamani kupingia hatua hiyo.
 
Chuo ulichosoma; warudishie cheti chao maana ulitoka mtupu; mweupe. Kwahiyo Chama kutekeleza maagizo ya msajiri Ndiko kuweweseka?. Ulitaka wafanye kinyume chake ili kitokee nini?
AKIWA MWANZA MROPOKAJI HECHE ALISEMA MSIMAMO WA CHADEMA NI KWAMBA HAITAFUATA MAAGIZO YA MSAJILI :pedroP:
 
Haya ndio Maamuzi yaliyofikiwa na Kamati Kuu ya Chama hicho kilichofanyika tarehe 3/06/2025 kwenye ofisi za chama hicho Mikocheni, D'Salaam.

Kamati Kuu imeagiza jambo hilo kufanyika mara moja na haraka.

Mutungi alifuta wajumbe wa sekretarieti ya Chama hicho baada ya Aliyekuwa Mwamachama wa Chadema Lembrus Mchome kuandika barua ya malalamiko.

Baadaye ikaja kubainika Kwamba Mutungi amempangishia Apartment Mchome maeneo ya Masaki ili awe karibu waweze kwa pamoja kuishambulia Chadema, Bwana Mchome amepewa mpaka walinzi.

Hata hivyo tayari Mlalamikaji Mchome amehamia Chauma.
 
Okay, tunaendelea kufuatilia

Diana Prince Popcorn GIF.gif
 
Mwenyekiti ambaye ndiye anatakiwa kusimamia show yupo ndani..

Pili kuanza kukusanya maelfu ya watu sio shughuli ndogo na ni gharama pia.

Tatu kwa Tension iliyopo sasa inaweza kutoa mwanya kwa maadui zao kupenyeza agenda ovu na hatimaye kuzuka sokomoko kwenye vikao.
Nimekwelewa hasa hapo kwenye mapandikozi. Watatumia gharama yeyote mpaka mkutano uvurugike
 
Back
Top Bottom