Kubwajinga
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,193
- 299
- Thread starter
-
- #61
Acha Ujinga mkuu na acha kuwa kama wale wanao Chora Zombi, kwa hiyo vyama kama REPBLICAN Cha USA ni chama cha Kidini, Conservative, kwa kifupi viko vingi sana na orodha ni ndefu sana na nilisha wahi kuileta humu day one, so hata ODM ni chama cha Kidini? Na unajua ukiachilia IDU muungani mwingine unaitwa nini? ambao una vyama kama Democratic na kazalika,
IDU memorandum yake inasema wazi wazi kuwa ni muungano wa vyama vyenye kushabikia ukristo kitu ambacho ndicho Republican Party ya USA wanachofanya. Kwa hiyo kama CDM nao wanashabikia ukristo, basi inabidi waliseme hilo wazi na kuwa wanafuata matakwa ya IDU hata kama ni hatari kwa taifa.
Kuhusu kusapoti hiyo iko wazi kabisa, na inaruhusiwa kabisa na kila mtu anajua hilo, na hata CCM hawawezi ongea chochote maana wanajua na Mkuu kisicho ruhusiwa ni Nchi kusapoti Mgombea fulani wa chama fulani kwenye Uchaguzi, kufanya hivyo ni kujatafutia matatizo na hata kuvunjika kwa uhusiana pale ambapo mlio kuwa mnamtarajia hakushinda na kashinda mpinzani wake,
Kwa Vyama hakuna kitu kama hicho make Vyama na Setikali ni Vitu viwili tofauti kabisa
Kwa hiyo chama cha Ahmedinajad wa Iran kikiwapa CCM mamilioni kwa ajili ya uchaguzi 2015, wewe huoni kuwa watakuwa wanaiingilia demokrasia yetu?