CHADEMA yambeba Odinga

CHADEMA yambeba Odinga

Namwona odinga akiwa rais wa kenya kwa ushirika na martha karua. Sijajua athari za urafiki na cdm ila nakumbuka pia kuwa odinga alishakuja tz kwa mwaliko wa magufuli. Magufuli alishahudhuria pia kampeni za odinga huko kenya
Asante sana Mkuu Raia Fulani!! Tena nakumbuka kabisa alifika na serikali ya SSM haikuonesha kumpa stahili sana!! Anyway alikuwa kama persona friend wa Magufuli!!! Ha ha ha!! Ukiona hivyo jua SSM inasupport mwingine kule!! Hawana mashiko na Raila!! Na ndiyo maana mleta mada anatoka huko huko!! Ha ha ha!! Raila is the next Kenyan President!! Pendeni msipende!!
 
Kama SISIM kule malawi eee.
Hata CCM walipojitumbukiza kwenye kampeni za Malawi wengine tulilaani kitendo hicho. Hatuwezi kufumbia upuuzi huo kwa kuwa tu sasa umefanywa na CDM. Narudia tena, kama habari ni ya kweli, wamefanya upuuzi na upumbavu.
 
Ccm ilishaenda malawi na
kupeleka bend yao chini ya komba kwajili ya kumpigia kampeni bakili
muluzi, ndio huko wakapewa ile sem tela wanayozunguka nayo,. Kipindi
icho we ulikua mfuga mbuzi kijijini kwenu kabla hujavamia siasa kwa
pupa

Kweli kabisa mkuu, tena baada ya hizo kampeni Komba akapewa zawadi ya shule. Kuna Shule hipo kule mbweni inaitwa Bakili Muluzi Sec. inamilikiwa na huyu komba...
 
Hakuna tatizo katika hilo. Hicho Chadema ni chama cha siasa na haiwakilishi serikali. Iwapo serikali ingejitokeza na kumsaidia au kuonyesha support kwa mgombea fulani hapo kungekuwa na tatizo.

Kwa hiyo Islamic Coalition Party ya Iran ikiwatumia CCM helcopta 20 na pesa $100,000,000 ili washinde uchaguzi 2015 wewe utajisikiaje?
 
Padri hajawahi kushinda uchaguzi usipotoshe jamii
Acha pumba zako!unafikiri angekuwa shehe ndio angeshinda?
Hii ni list ya mapadre wa miaka ya karibuni ambao walishawahi kuwa marais

Jean-Bertrand Aristide (Haiti)
Fernando Armindo Lugo Méndez ( Paraguay)
Father Jozef Tiso (Slovakia)


 
ODM na CHADEMA vyote viko kwenye ule muungano unao itwa IDU, International Democratic Unuon, na moja ya shabaha zao ni kusaidiana kwenye kampeni, Tatizo watu wanaongea bila kutumia akili watu wana Ubongo wa Konokono
 
Mkuu Kubwajinga!! Ha ha ha!!! Mbona nyie mnatoa hela na mbinu za kuiba kura kwa nchi nyingine? Kwa usalama wa maisha yangu ngoja nisizitaje? Tena tuipongeze CDM kwa kushabikia wazi kwa msaada wa magari na msanii!! Nyie mipango ya mafia ya uchakachuaji si mnaenda kufundisha!!! Hivi wakati ule lile Gari la TOT lienda malawi likitumwa na Chama lilienda kufanya nini vile!!!?? Fanya utafiti kwanza mkuu!!

Zogwale,
Nashukuru kwa udadisi wako. Naomba tujibu hoja kwa kuangalia zaidi athari za matendo yetu ya sasa vs ya zamani. Kama tulisalimika kwa upuuzi wa CCM miaka iliyopita, basi tushukuru Mungu, lakini hilo isiwe ndio kibali cha kuendeleza uzembe. Tusikubali kuburuzwa kuwa kwa vile CCM walifanya basi CDM nao wafanye hivyo hivyo. Kama ndio walivyo CDM, kuna haja gani ya kuiondoa CCM kama CDM watafanya yaleyale? Mimi sina chama, nashabikia taifa. Tuendelee na mjadala.
 
Kwa hiyo Islamic Coalition Party ya Iran ikiwatumia CCM helcopta 20 na pesa $100,000,000 ili washinde uchaguzi 2015 wewe utajisikiaje?

Vyma vinavyo saidiana ni Vile vyenye Mlengo unao fanana tu, na hua Ni vyama kwa Vyama na Sheria za Kimataifa zinaruhusu hivyo, Vyma kwa Vyama ila Si Serikali isapoti Mgombea Urasi Fulani hiyo inakuwa nu kuvunja sheria,

So CHADEMA inasapoti ODM kama Chama, na hata CCM husapoti vyama vingine kama Chama, na Serikali ya Tanzania haijawahi pigia Kampeni mgombea yoyote au kumuunga mkono mgombea yoyote yule, Ila CCM huwa inafanya hivyo kwa sababu milengo yao inafanana, na hii ishu inajulikana kimataifa na si kwamba iko hapamAfrica pekee
 
ODM na CHADEMA vyote viko kwenye ule muungano unao itwa IDU, International Democratic Unuon, na moja ya shabaha zao ni kusaidiana kwenye kampeni, Tatizo watu wanaongea bila kutumia akili watu wana Ubongo wa Konokono
Mmmm, kwani kuna ubaya gani, na wao si wakasaidie KANU.
 
Zogwale,
Nashukuru kwa udadisi wako. Naomba tujibu hoja kwa kuangalia zaidi athari za matendo yetu ya sasa vs ya zamani. Kama tulisalimika kwa upuuzi wa CCM miaka iliyopita, basi tushukuru Mungu, lakini hilo isiwe ndio kibali cha kuendeleza uzembe. Tusikubali kuburuzwa kuwa kwa vile CCM walifanya basi CDM nao wafanye hivyo hivyo. Kama ndio walivyo CDM, kuna haja gani ya kuiondoa CCM kama CDM watafanya yaleyale? Mimi sina chama, nashabikia taifa. Tuendelee na mjadala.

Vyama vyenye Mlengo mmoja huwa wanasaidiana sana na hii inajulikana kimataifa, Acheni Kukariri mambo hapa, na hata ODM wakishindwa haina athari yoyote kwa sababu CHADEMA ilisapoti kama Chaama, mbona iko wazi sana na inajulikana sana na hata JUBLIE hawaweza piga kelele kwa sababu ni kitu kinajulikana kabisa, hapa hakuna siri yoyote, Serikali kusapoti mgombea wa Chama Kingine ndo balaa. ila chama kwa chama haina shida
 
ODM na CHADEMA vyote viko kwenye ule muungano unao itwa IDU, International Democratic Unuon, na moja ya shabaha zao ni kusaidiana kwenye kampeni, Tatizo watu wanaongea bila kutumia akili watu wana Ubongo wa Konokono

Chasa,

  1. Kwa hiyo kama wako kwenye IDU, ndio inawapa haki ya CDM wao kuingilia chaguzi za nchi nyingine?
  2. Hivi ni nani aliyeiingiza CDM huko IDU na ni kwa mkataba gani maana IDU ina mrengo wa kidini (ukristo).
 
Padri hajawahi kushinda uchaguzi usipotoshe jamii

Sema hivi, ccm hawajawahi kukubali kama Pardi kashinda uchaguzi, rejea ya Karatu mwaka 1995 kwenye kura za maoni na utangazaji wa mshindi wa kiti kile cha ubunge, uchaguzi wa 2010, sheikh hakushinda ila alitangazwa!? Kama huamini kamuulize mwanae aliyesoma Bangole India!
 
Vyama vyenye Mlengo mmoja huwa wanasaidiana sana na hii inajulikana kimataifa, Acheni Kukariri mambo hapa, na hata ODM wakishindwa haina athari yoyote kwa sababu CHADEMA ilisapoti kama Chaama, mbona iko wazi sana na inajulikana sana na hata JUBLIE hawaweza piga kelele kwa sababu ni kitu kinajulikana kabisa, hapa hakuna siri yoyote, Serikali kusapoti mgombea wa Chama Kingine ndo balaa. ila chama kwa chama haina shida

Chasa,
Ni nani aliyeiingiza CHADEMA huko IDU? Je wanachama wake wanafahamu kuwa CDM inawajibika kutekeleza matakwa ya jumuiya ya kisiasa yenye mrengo wa Ukristo?

Nukuu toka Wikipedia
 
Chasa,

  1. Kwa hiyo kama wako kwenye IDU, ndio inawapa haki ya CDM wao kuingilia chaguzi za nchi nyingine?
  2. Hivi ni nani aliyeiingiza CDM huko IDU na ni kwa mkataba gani maana IDU ina mrengo wa kidini (ukristo).

Acha Ujinga mkuu na acha kuwa kama wale wanao Chora Zombi, kwa hiyo vyama kama REPBLICAN Cha USA ni chama cha Kidini, Conservative, kwa kifupi viko vingi sana na orodha ni ndefu sana na nilisha wahi kuileta humu day one, so hata ODM ni chama cha Kidini? Na unajua ukiachilia IDU muungani mwingine unaitwa nini? ambao una vyama kama Democratic na kazalika,

Kuhusu kusapoti hiyo iko wazi kabisa, na inaruhusiwa kabisa na kila mtu anajua hilo, na hata CCM hawawezi ongea chochote maana wanajua na Mkuu kisicho ruhusiwa ni Nchi kusapoti Mgombea fulani wa chama fulani kwenye Uchaguzi, kufanya hivyo ni kujatafutia matatizo na hata kuvunjika kwa uhusiana pale ambapo mlio kuwa mnamtarajia hakushinda na kashinda mpinzani wake,

Kwa Vyama hakuna kitu kama hicho make Vyama na Setikali ni Vitu viwili tofauti kabisa
 
The International Democrat Union (IDU) is a working association of over 80 Conservative, Christian Democrat and like-minded political parties of the centre and centre right.

Formed in 1983, the IDU provides a forum in which Parties holding similar beliefs can come together and exchange views on matters of policy and organisational interest, so that they can learn from each other, act together, establish contacts and speak with one strong voice to promote democracy and centre-right policies around the globe. Founder Members of the IDU included Britain's Prime Minister Margaret Thatcher, then US Vice-President George Bush Sr, Paris Mayor and later President of France Jacques Chirac, German Chancellor Helmut Kohl and many other Party Leaders.

Our Mission

  1. The International Democrat Union (IDU) shall consist of Member Parties of the Asia Pacific Democrat Union (APDU); the Caribbean Democrat Union (CDU); the Democrat Union of Africa; the European Democrat Union (EDU); the European People's Party (EPP); the Alliance of European Conservatives and Reformists (AECR); and the Union of Latin American Parties (UPLA), which have adhered to the IDU Declaration of Principles.
  2. The IDU will foster the common philosophy of its Member Parties, establish permanent relations at a bilateral and multilateral level, encourage mutual support and to these ends will provide a forum for the exchange of views and information on matters of interest to all or a considerable number of its Member Parties.
Countries can only develop their full potential if they develop recognising the ideals of liberal democracy, freedom of the individual, and the need for economic growth to be based on individual initiative and free, competitive enterprise economies. The IDU has a clear role in a modern world, where today's idea in one country is tomorrow's policy in another.

Through the IDU, member Parties can exchange policy ideas, assist each other to win the political argument, and to win elections. There are regular meetings of both the full IDU and its Regional Unions and Organisations. The officers of the IDU are elected at Party Leaders' Meetings which are held every three or four years.

At IDU Executive Meetings, briefings are given on local and topical issues, as well as consideration given to applicant parties. Apart from Executive Meetings and meetings of IDU's Standing Committee on Foreign Affairs, the IDU holds events such as the Young Leaders Forum, plus undertakes fact-finding missions and election observation. A major event is also held every four years to coincide with the Republican Convention, the last one held in September 2012 in Tampa (Florida).

The IDU also organises campaigning seminars for politicians and party workers. These involve exchanges of information on campaign technology, fund-raising techniques, opinion polling, advertising and campaign organisation. The IDU plays an essential role in enabling like-minded, centre-right parties to share experiences in order to achieve electoral success
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom