Mimi ninadhani watu wa humu JF ni wenye busara,lakini m' naona siyo. Kwani CDM kumsaidia mwenzake Odinga kupiga kampeni kuna ubaya gani? Mbona CCM ilifanya Malawi na kwingineko? Pia magari mawili wala siyo kitu kusaidia kampeni. Tazama,mwaka 2000 serikali ya uingereza ilitoa magari kwa chadema kupiga kampeni wakati mbowe anagombea urais na serikali yetu iliona sawa tu,bila kuwabugudhi. Na watu walipiga kura Mkapa akashinda,na mbowe alihudhuria kuapishwa kwa Mkapa kuwa rais. Jaribuni kuwa wastaarabu,acheni utoto,zungumzeni mambo ya msingi zaidi. Kupigana tafu ipo kila kona hapa duniani. Angalia,Rais wa Marekani anapiga kampeni hadi Israel. Konoike ilishasaidia Waziri Mkuu wa mmoja mgombea wa Japani na hakushinda. So think tank. Is there any harm for helping someone to succeed? Don't jelous!