CHADEMA yambeba Odinga


Hakuna sheria inayosema kuwa vyama vinavyosaidiana lazima vifanane. Msaada ni msaada tu na ni kwa maslahi ya mtoaji. Kwa hiyo kama ni sawa kwa CDM kutoa au kupokea misaada toka nje ya nchi, je itakuwa vibaya kwa Rostam Aziz kuwaomba wa-Iran wenzake kuisaidia CCM?
 
Mnapojenga hoja hapa, jaribuni kuangalia pia athari zake.
Kwa hiyo mnataka kutuaminisha kuwa CHADEMA inafanya kile ambacho CCM walikifanya kwa Malawi?.

Kama hivyo ndivyo, Sasa kipi ni tofauti ya CHADEMA na CCM kama vyote vinafanya vivyo hivyo kwa maana kwamba hata madudu ya CCM nao CHADEMA kikiingia madarakani kina ruhusa kuyafanya pia kwa vile CCM kiliyafanya.

"Mimi sijasema" , hoja zenu ndiyo zinasema.

Ni angalizo tu.
Ccm ilishaenda malawi na kupeleka bend yao chini ya komba kwajili ya kumpigia kampeni bakili muluzi, ndio huko wakapewa ile sem tela wanayozunguka nayo,. Kipindi icho we ulikua mfuga mbuzi kijijini kwenu kabla hujavamia siasa kwa pupa
CCM mlipopeleka kikundi chenu cha TOT kumsaidia Bakili Muluzi kule Malawi ilikuwa sawa tu eeh??Kunya anye kuku,akinya bata kaharisha!


Kama SISIM kule malawi eee.


Kweli kabisa mkuu, tena baada ya hizo kampeni Komba akapewa zawadi ya shule. Kuna Shule hipo kule mbweni inaitwa Bakili Muluzi Sec. inamilikiwa na huyu komba...
WanaCCM hamna kumbukumbu kabisa, yaani mmesahamu mlichokifanya Malawi!
 
KWA AFRICA KUNA HIVI VYAMA

Democrat Union of Africa (DUA)
c/o New Patriotic Party (NPP)
Private Mail Bag
Accra North
GHANA

Chairman: Dr. Kizza Besigye (FDC, Uganda)
Honorary Chairman: Peter Mac Manu (NPP, Ghana)

Contact: Charles Owiredu (Director of International Affairs, NPP)
E-mail 1: asuako2000@yahoo.com
E-mail 2: info@du-africa.org
Mobile: +233 244 748 526 or +233 208 616 863
Office: +233 21 228 104 or +233 21 227 737
Web-site: www.du-africa.org


[TR]
[TD]

[TD="width: 5"]

[TD="width: 300"] Angola



[/TD]

[/TD]
[TR]
[TD]

[TD="width: 5"]
[TR]
[TD]

[TD="width: 5"]
[TR]
[TD]

[TD="width: 5"]
[TR]
[TD]

[TD="width: 5"]
[TR]
[TD]

[TD="width: 5"]
[TR]
[TD]

[TD="width: 5"]
[TR]
[TD]

[TD="width: 5"]
[TR]
[TD]

[TD="width: 5"]
[TR]
[TD]

[TD="width: 5"]
[TR]
[TD]

[TD="width: 5"]
[TR]
[TD]

[TD="width: 5"]
[TR]
[TD]

[TD="width: 5"]
[TR]
[TD]

[TD="width: 5"]

[TD="width: 300"] Democratic Republic Kongo [/TD]

[TD="colspan: 3"] Union pour la Démocratie et le Progrès Social (UDPS)
Member of: DUA Observer [/TD]



[/TD]

[/TD]
[/TR]

[TD="width: 90%"] Ghana [/TD]

[TD="colspan: 3"] Ghana New Patriotic party
Member: DUA, IDU

Private Mail Bag, Accra- North
Accra
GHANA

Party Chairman: Jake Obetsebi Lamptey

Contact 1: Jake Obetsebi Lamptey
E-mail: joobetsebi@gmail.com

Contact 2: Charles Owiredu
E-mail: asuako2000@yahoo.com

Tel 1: +233 21 220 987
Tel 2: +233 21227951
Fax: +233 21 240 663
Web-site: http://www.thenewpatrioticparty.org
[/TD]



[/TD]

[/TD]
[/TR]

[TD="width: 300"] Ivory Coast [/TD]

[TD="colspan: 3"] Parti Démocratique de la Côte d'Ivoire (PDCI-RDA)
Member: DUA Member
05 BP
36 Abidjan 05
Côte d'Ivoire

Party Leader: Henri Konan Bédié
Secretary General: Prof. Alphonse Djedje Mady

Contact 1: Hon. Dongo Kouassi
E-mail: [email]nkwanta.fr@yahoo.fr [/EMAIL]
Tel: +225 2244 1363
Tel: +225 0784 7781

Contact 2: Jean-Marie Kakou Gervais, Minister of Foreign Affairs
E-mail: kgervais@afnet.net
Tel: +225 2241 7658
Mobile: +225 07 63 33 07

Contact 3: Dr. Coffie Goudou Raymonde, Member of Political Bureau
E-mail: raymcoffie@yahoo.fr
Tel: +255 2250 2640
Mobile: +255 0708 4851[/TD]




[/TD]

[/TD]
[/TR]

[TD="width: 300"] REPUBLIC OF KENYA [/TD]

[TD="colspan: 3"] Democratic Party of Kenya
Member: IDU and DUA

P.O. Box 56395 - 00200
Gitanga Road
Nairobi
Kenya

Party Chairman: Hon. Joseph K. Munyao

Contact 1: Laban G. Gitau, Executive Director
E-mail: democraticpartyofkenya@gmail.com or info@democraticpartyofkenya.co.ke

Tel 1: +254-20-3873595
Fax : +254-20-3875881
Website: www.democraticpartyofkenya.co.ke
[/TD]



[/TD]

[/TD]
[/TR]

[TD="width: 300"] Lesotho [/TD]

[TD="colspan: 3"] Basotho National Party (BNP)
Member: DUA Observer

P.O. Box 124
Maseru
Kingdom of Lesotho

Party leader: J. M. Lekhanya MP
E-mail: metsinglekhanya@gmail.com

Contact: Secretary General Paul Ranthomeng Matete
E-mail: ranthomengmatete@yahoo.com
[/TD]



[/TD]

[/TD]
[/TR]

[TD="width: 300"] Liberia [/TD]

[TD="colspan: 3"] Unity Party
Member: DUA Member

Party Leader: H.E. Hellen Johnson Sirleff
Party Chairman: Verney Sherman

Contact: B. M. Catakaw, Deputy Secretary General
Tel: +231 (0)77 200 587
Fax: +231 (0)77 512 528
E-mail: bmcatakaw@gmail.com [/TD]



[/TD]

[/TD]
[/TR]

[TD="width: 300"] Mozambique [/TD]

[TD="colspan: 3"]
Mozambican National Resistance
Member: DUA


[/TD]



[/TD]

[/TD]
[/TR]

[TD="width: 90%"] Namibia [/TD]

[TD="colspan: 3"] Democratic Turnhalle Alliance of Namibia (DTA)
Member: DUA, IDU Associate Member

PO Box 173
Windhoek 9000
NAMIBIA

Party Leader: Hon. Katutuire Kaura

Contact: Rehabeam Katjijova
E-mail: dtaofnamibia2010@yahoo.com

Tel 1: +264 61 238 530
Tel 2: +264 61 288 2543 (Office in the Parliament)
Fax 1: +264 61 226 845
Fax 2: +264 61 226 494[/TD]



[/TD]

[/TD]
[/TR]

[TD="width: 300"] Niger [/TD]



[/TD]

[/TD]
[/TR]

[TD="width: 300"] Seychelles [/TD]

[TD="colspan: 3"] New Democratic Party
Member: DUA Member [/TD]
Progress House
PO Box 269
Mahe
Seychelles

Party Leader: Ralph Volcere
Contact email 1: dpleadervolcere@gmail.com
Contact email 2: nouveauweekly@gmail.com
Tel: +248 224 916 or +248 611 752
Fax: +248 611 750
Web: http://www.lenouveauseychellesweekly.com




[/TD]

[/TD]
[/TR]

[TD="width: 300"] Sierra Leone [/TD]

[TD="colspan: 3"] People's Movement for Democratic Change (PMDC)
Member: DUA Member

[/TD]



[/TD]

[/TD]
[/TR]

[TD="width: 300"] Tanzania [/TD]

[TD="colspan: 3"] Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo (CHADEMA)
Member: DUA, IDU Associate Member
P.O. Box 31191
Dar Es Salaam
TANZANIA

Party Leader: Hon Freeman A. Mbowe

Contact: Ezekiah Dibogo Wenje MP, International Secretary
Contact e-mail: info@chadema.or.tz

Contact 2: Dr Slaa Willibroad MP, Secretary General
Contact email: slaa@chadema.or.tz

Tel: +255 22 266 88 66
Fax: +255 22 266 88 66
Web-site: www.chadema.or.tz [/TD]



[/TD]

[/TD]
[/TR]

[TD="width: 300"] Uganda [/TD]

[TD="colspan: 3"] (1) Forum for Democratic Change (FDC) Member: DUA, IDU
PO Box 26928
Kampala, Uganda

Party Leader: Dr Kizza Besigye
Tel: +256 772-402851 / +256 752 373 647

Contact 1: Mr. Mukalazi Kibuka, International Secretary
E-mail: nikiwa@broadband.ug

Contact 2: Mr. Wycliffe Bakandonda, Administrative Secretary
E-mail: cliffeba@yahoo.com
Web-site: www.fdcuganda.org

Visiting address: Plot No 109, Entebbe Road - Najjanankumbi

(2) Democratic Party (DP)
Member: DUA Member
PO Box 7098
Kampala, Uganda

Party Leader: Hon Juliet Rainer Kafire
Tel: +256 774 728 592

Contact: Dr. Bayigga Michael Lulume, Secretary General
Tel: +256 772 432 096
E-mail: bayiggalm@yahoo.com
[/TD]



[/TD]

[/TD]
[/TR]
[/TD]
[/TR]
[TD="width: 10"]
[/TD]
 
Si vibaya kuwa na vyama nchi za jirani hasa ikiwa ni vyama vya kupigania demokrasi na kuleta mapinduzi katika nchi jirani.
Chama kama ccm haiwezi tena kufanya hivyo kwa kuwa chenyewe ni kandamizi inashika madaraka na ikienda nchi jirani aghalabu itaunga mkono vyama vilivyoko madarakani. Hii itachukuliwa kama serikali kuingilia uhuru wa nchi nyingine kwa kuwa ccm iko madarakani. L
Hii ni tofauti na CDM inayotaka kunyoosha dhuluma za ccm. Ni kama Nyerere alivoshirikiana na vyama vya ukombozi katika nchi za kusini mwa Afrika na kwingineko.
CDM ni chama kinachopigania mabadiliko ODM ni chama kinachopigania mabadiliko. CDM inatafuta katiba mpya kwa nchi yetu ODM imepigania madidiliko ya katiba Kenya na sasa inataka madaraka ili waitekeleze kikamilifu. Hii ni nzuri kwa kuwa inasend messege kwa mabwenyenye wanaolaghai wakenya kuwachagua hata kama wanazo kesi za kujibu icc kwa mauaji ya raia hao wanaotaka wawachague. Inawaambia si wazungu tu wanaopaza sauti kwa upuuzi wanaotaka kuufanya lakini ni waafrika pia. Wanapoungwa mkono na lile klabu yakunywa chai na kahawa AU wajue si raia wa kiafrika wanaowaunga mkono ila waliolewa madaraka kama wao.
Hata ikiwa jubilee itashinda haina athari kwa nchi yetu.
 

Mkuu nimesema kisicho Ruhusiwa ni Serikali kufadhili chama fulani, Ingawa Mataifa makubwa kama USA wanaweza fanya hivyo ila ni kwa siri sana kiasi kwamba hakuna atakaye jua, kwa sababu hata wao wanajua nikuvunja sheria,

Vyama vinavyo saidiana ni vile vyenye mlengo unao fanana na kwa Kenya kwa sasa CCM haina wa kusapoti kwa sababu KANU hakipo tena, itakuwa ni vichekesho CCM kusapoti chama cha Uhuru kwa sababu hawafanani kwa chochote, so CCM vyama rafiki ni vile vyote vilivyo pigania uhuru ingawa kuna vingine kama chama cha Kikomonist cha China na kazalika,

Kwa Africa vyama rafiki vya CCM vimabakia vichache sana make vingi visha Pukutishwa kama vile KANU
 

Chasa,

  1. Kwanza sio kweli, Kenya hakuna chama chochote kilichopo kwenye hiyo IDU
  2. Huu ni muungano wa vyama vya kikristo, je CHADEMA ni chama cha kikristo?
  3. Hata hiyo IDU inasema misaada ni ya kimawazo haijasema iwe ya mali. Lakini hata kama ni kipesa/mali, swali sio IDU inaihitaji CDM kufanya nini, bali swali ni je hayo matendo ni salama kwa taifa letu?
  4. Kama CDM wanatimiza matakwa ya IDU yaliyo hatari kwa amani na demokrasia ya Tanzania, je ni kwa nini na hatua gani zichukuliwe ndani na nje ya chama?
 
Kwa hiyo vyama vya Iran, Pakistani n.k. vyenye kushabikia mahakama za kiislam vikiisaidia CCM kwako itakuwa sawa?
 
Niliposema kuwa TOT walienda kumfanyia kampeni Muluzi nadhaniunaenlewa namaanisha nini,kwa wakati ule yale matuck makubwa ndio yalikuwa yanatumiaka kwenye kampeni hivyo hakuna tofauti hapo.
Tukumbuke kuwa kuna uhusiano wa vyama mbalimbali duniani na huwa wanasaidiana katika mambo mbalimbali kama vyama,kwa mfano chana cha ANC cha Afrika Kusini kinaweza kutoa msaada wa aina yoyote kwa chama rafiki CCM vivo hivyo kwa CHADEMA kama wanaweza kutoa msaada kwa chama rafiki Kenya sioni tatizo.
Leo nenda kaivamie nchi iliyo katika muungano wa NATO utaona kama nchi rafiki zitakuacha.
 
Katika dunia hii kama mpaka leo hujui vyama duniani vinafanya nini ni bora ukakaa kimya kuliko kutoa angalizo tu,jiulize kwenye mikutano unapoalika vyama rafiki kuhudhuria huwa ina maana gani?Tafakari.
 
Source yenyewe " MTANZAIA?" I doubt the news.....
 

  1. Kwa hiyo kwa vile CCM ni wala rushwa, CHADEMA nao wakipata madaraka itabidi wafanye kama CCM?
  2. Nchi za NATO ushirikiano wao ni wa kijeshi, lakini hata siku moja hawachangii vyama pinzani vya nchi nyingine, kwani huko ni kuingilia demokrasia ya nchi nyingine.
  3. ​Je utafurahi demokrasia yetu ikiingiliwa na watu wasio raia wa Tanzania?
 
Fuso gani zilipelekwa kule au ni zile za wakati ule tulizoambiwa kiongozi mmoja alizitoa kwa moyo mkunjufu kwa ajili ya Chama ila baada ya kuona ruzuku akaamua kukidai chama kimlipe ma fuso yake?
 
Katika dunia hii kama mpaka leo hujui vyama duniani vinafanya nini ni bora ukakaa kimya kuliko kutoa angalizo tu,jiulize kwenye mikutano unapoalika vyama rafiki kuhudhuria huwa ina maana gani?Tafakari.
Kuhudhuria na kusaidia kwenye kampeni ni vitu viwili tofauti kabisa. Kuhudhuria hakumaanishi kuwa active kwenye maswala ya huyo aliyewaalika zaidi ya kuwa mtazamaji. Kujihusisha kwenye maswala ya kampeni ni kuvuka mipaka ya kuwa mtazamaji na kuwa ni muhusika hai. Katika macho ya mahusiano ya kimataifa na dipromasia, hili ni kosa.
Nilikujibu kutokana na counter argument yako kwa kubwajinga pale uliposema,

CCM mlipopeleka kikundi chenu cha TOT kumsaidia Bakili Muluzi kule Malawi ilikuwa sawa tu eeh??Kunya anye kuku,akinya bata kaharisha!

CCM walifanya makosa makubwa kufanya hivyo hasa ikizingatiwa kuwa ni chama ambacho kilikuwa kinaongoza serikali. Hii pia haiwapi CHADEMA tiketi ya kufanya madudu ya waliyofanya CCM.
 
Odinga ni mtu tajiri sana hahitaji msaada wa mafuso, magari yake ya kampeni ninayajua vizuzri na aliagiza yote kutoka UK

Kwa sababu uko UK ni lazima useme kwamba unayajua magari ya Odinga. Pfyuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Swali la pili nadhani umelijibu tayari maana ushirikiano unategemea mnashirikiana katika nini hivyo hata katika siasa kuna suala la kusaidia katika rasilimali pia kama inaonekana inafaa ili mradi tu sheria zisivunjwe.
Siipendi rushwa na naichukia hivyo haiwezekani hata siku moja nikakubali chama changu kishiriki kwenye rushwa ambayo chama kingine kinashiriki na mfano uliotolewa hapa ulikuwa ni wa kuwakumbusha kuwa mnapoongelea mambo ambayo kwenu mnaona mapya basi muwe na kumbukumbu ya yale mliyoyafanya maana sisi tunafanya si kwa kuiga bali kwa kuangalia hali halisi ilivyo.
Kumsaidia mtu si kuingilia uhuru wake,leo hii nchi yetu inajivunia misaada toka nje ambaye Mkuu wa nchi kila siku ni kuzunguka kupitisha bakuli,tuseme maamuzi ya Serikali yetu yanaingiliwa na wao kwa kuwa tu wanatupa misaada?
 
Mbona Ccm mwaka jana juzi walipewa magari na watu wa Frelimo cha msumbiji kama zawadi ya marafiki waliodumu kwa muda mrefu?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…