CHADEMA yakimbiwa Kilosa

RICH OIL SHEIKH

JF-Expert Member
Jan 2, 2012
883
167
Katibu mwenezi wa CDM Kilosa Bw. Ramond Mlama na Mjumbe wa Wilaya ya Kilosa Penfold Chimola wamekitosa CDM na kujiunga na CCM kwa kuwa CDM haina sera madhubuti, na CCM si chama cha wabaguzi na wababaishaji. Ameongezea kuwa washabiki wa CDM hawajui ubaguzi uliokitanda chama hicho ila yeye kama kiongozi ameona. Hii imetokea juzi. Poleni sana.
 
Katibu mwenezi wa CDM Kilosa Bw. Ramond Mlama na Mjumbe wa Wilaya ya Kilosa Penfold Chimola wamekitosa CDM na kujiunga na CCM kwa kuwa CDM haina sera madhubuti, na CCM si chama cha wabaguzi na wababaishaji. Ameongezea kuwa washabiki wa CDM hawajui ubaguzi uliokitanda chama hicho ila yeye kama kiongozi ameona. Hii imetokea juzi. Poleni sana.
Ni njaa wakishashiba wataelewa!
 
Back
Top Bottom