RICH OIL SHEIKH
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 883
- 167
Katibu mwenezi wa CDM Kilosa Bw. Ramond Mlama na Mjumbe wa Wilaya ya Kilosa Penfold Chimola wamekitosa CDM na kujiunga na CCM kwa kuwa CDM haina sera madhubuti, na CCM si chama cha wabaguzi na wababaishaji. Ameongezea kuwa washabiki wa CDM hawajui ubaguzi uliokitanda chama hicho ila yeye kama kiongozi ameona. Hii imetokea juzi. Poleni sana.