CHADEMA Yajitoa mchakato wa Katiba; Yadai Rais kawauza!

jamaa wanapiga bizness kwa maslahi ya familia zao we waendekeze tu wanasiasa
Kila uchao,CHADEMA wanaamka na jambo jipya.Mara kesi,mara maandamano,mara kususia vikao vya Bunge,mara kufanya mkutano na Mkuu wa magamba Ikulu,mara kutoa tamko,mara nini sijui nakadhalika.Hawaeleweki wala hawatabiriki.Maswali ya kujiuliza ni: Je,tuendelee kuwaamini CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani nchini chenye uongozi dhabiti,na hoja imara? Je,CHADEMA nao wanatumiwa? Kwa faida ya nani hasa?
 
ooh boy!!
Nimeipenda hii,kwa kuwa kijana kawekwa mbele,kasign yeye,na sasa wamemuweka mbele kuongea yeye,polepole taswira yake inaanza kujaa sura ya usaliti polepole kwishiney.

Ama kweli CDM kumbe nako ni jumba la sanaaa !!!!!!!!!!!!! dogo nilikua najua ni Intellegent kumbe ni smart.Pole yake!!!!!!!
 
We lini uliwahi kuwaamini ?.Waache wanaowa amini waendelee kuwaamini.

Kila uchao,CHADEMA wanaamka na jambo jipya.Mara kesi,mara maandamano,mara kususia vikao vya Bunge,mara kufanya mkutano na Mkuu wa magamba Ikulu,mara kutoa tamko,mara nini sijui nakadhalika.Hawaeleweki wala hawatabiriki.Maswali ya kujiuliza ni: Je,tuendelee kuwaamini CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani nchini chenye uongozi dhabiti,na hoja imara? Je,CHADEMA nao wanatumiwa? Kwa faida ya nani hasa?
 
Kila uchao,CHADEMA wanaamka na jambo jipya.Mara kesi,mara maandamano,mara kususia vikao vya Bunge,mara kufanya mkutano na Mkuu wa magamba Ikulu,mara kutoa tamko,mara nini sijui nakadhalika.Hawaeleweki wala hawatabiriki.Maswali ya kujiuliza ni: Je,tuendelee kuwaamini CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani nchini chenye uongozi dhabiti,na hoja imara? Je,CHADEMA nao wanatumiwa? Kwa faida ya nani hasa?


Kila kitu kinaenda kwa mpangilio mkuu.

Usiamke na ndoto za mchana hapa.

Ukiwa unaota usilete ndoto zako hapa jukwaa hili la siasa.

kuna majukwaa mengi tuu hapa unaweza weka hii kitu yako jukwaa la chit-chat au Jokes.

Mpangilio wa matukio yanayotokea kumhusu CHADEMA ni wazi kuwa chama kinakua imara.

Ukifikawakati muafaka mbivu na mbichi itajulikana.

Ila kwa wakati huu nawashauri wanachama na wapenzi wa CHADEMEA kuwa wapole.

Tuwasubiri watu wazima wakipigana kama kuna mmoja atapiga mayoye ndo tujue

kumekucha.
 
Nitahitaji kukosolewa, ukisoma maelezo hayo juu kuna sentensi zifuatazo:

"......wamemaliza mkutano wao wa siku mbili mjini Dar kuhusu Muswada wa Sheria ya mabadiliko ya katiba ya mwaka 2011..."

Baada ya mkutano

" Pande mbili hizo zimekubaliana kama ifuatavyo:

1. Pamoja na sheria hiyo kupitishwa na Bunge ipo haja ya ........"


Ukizichunguza sentensi hizo hapo juu .... utagundua kuwa CHADEMA walikuwepo wakati Rais anasaini Muswada huo kuwa sheria, ndio maana Mh. Mnyika alisaini makubaliano hayo.

USHAURI: Viongozi wa CHADEMA wakubali kuwa walikosea kukubali kutia saini makubaliano hayo (ambayo na hisi hawakuyaelewa wakati huo), na wawaombe radhi watanzania. Na sasa wafikirie upya namna itakavyopatikana katiba mpya na bora ambayo itakidhi matakwa ya watanzania kwa amani.

Chadema wanaogopa vivuli vyao kama sio wanafiki.

Ulichoweka ni bayana kabisaaaaaaaaa kuwa walikubaliana kabisa na maamuzi ya Bunge.

Lakin suala lipo pale pale wawike wasiwike kutakucha tu.
 
bado siwalaumu chadema....

mtafutaji hachoki, akichoka........

there is still a room to do something!
 
Kosa lao ni kwenda kuongea na kigeugeu in the first place!!!

Kosa la JK ni kusaini kitu ambacho sidhani kama kitamsaidia kwa sasa ambapo anawindwa ndani na nje ya CCM

Kosa la wabunge wa CCM ni kutuzuga

Kosa letu ni kuchagua wabunge sketi na suruali

Kosa la Tanzania ni uzuri wake unaosababisha iwe abused
 
Kila uchao,CHADEMA wanaamka na jambo jipya.Mara kesi,mara maandamano,mara kususia vikao vya Bunge,mara kufanya mkutano na Mkuu wa magamba Ikulu,mara kutoa tamko,mara nini sijui nakadhalika.Hawaeleweki wala hawatabiriki.Maswali ya kujiuliza ni: Je,tuendelee kuwaamini CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani nchini chenye uongozi dhabiti,na hoja imara? Je,CHADEMA nao wanatumiwa? Kwa faida ya nani hasa?
tuwaamini CCM. chama tawala kilichoongoza nchi hiii kwa miaka zaidi ya 50. chama adilifu kinachojali maslahi ya wananchi wote bila kujali dini, rangi wala kabila.
 


Bottom line!! ...
Rais wa Jamhuri ya Tz JMK. KAMWE hataruhusu Sheria ianze kufanya Kazi kabla ya Marekebisho!!
Mkuu Rais akishatia saini kwenye mswada na kuwa sheria, what next? Baada ya Muswada kuwasilishwa kwa Rais kwa ajili ya
kupata kibali chake, Rais aweza kuukubali au kukataa kuukubali, na iwapo Rais atakataa kuukubali Muswada basi ataurudisha kwa
Bunge pamoja na maelezo ya sababu zake za kukataa kuukubali Muswada huo. Kwa nini Rais hakutumia haya mamlaka kuurudisha mswada mbunge ili ufanyiwe marekebisho?
 
Kila uchao,CHADEMA wanaamka na jambo jipya.Mara kesi,mara maandamano,mara kususia vikao vya Bunge,mara kufanya mkutano na Mkuu wa magamba Ikulu,mara kutoa tamko,mara nini sijui nakadhalika.Hawaeleweki wala hawatabiriki.Maswali ya kujiuliza ni: Je,tuendelee kuwaamini CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani nchini chenye uongozi dhabiti,na hoja imara? Je,CHADEMA nao wanatumiwa? Kwa faida ya nani hasa?
Huwa sijihangaishagi na "Leading Questions"
 


Msikilize Mnyika kwa makini kisha tafkari!!!

Ni nani? Ni Mtanzania gani ambaye ... ana ufahmu na akili timamu atafanya Sheri ianze kufanya kazi kabla ya marekebisho kama ilivyokubaliwa IKULU? Atakuwa anaitakia nini Tanzanai? MOVE ya CDM iko sahihi kabisa na wala hakuna utata wowote. Tumuone Huyo Mtanzani mwenye Jeuri au Mamlaka ya Kuruhusu SHERIA ianza kufanya kazi kabla ya Marekebisho yaliyokubaliwa IKULU.

Mtanzania atakaye ruhusu Sheria itumike kwa kusaliti Makubaliano ya IKULU ... Itaifanya CDM kuonekana sahihi kwa mambo mawili.

1. Kutoka Bungeni wakti mjadala wa katiba unaendelea
2. Kwenda kumuona Rais Ikulu na sasa kusalitiwa.

CCM haiko tayari kuwahalalisha CDM kwa kulazimisha SHERIA ianze kufaya kazi kinyume na makubaliano ya IKULU ..Msikilize Mnyika vizuri . Hapa wala hakuna utata wowote. Hakuna Mtanzania aliyekosa busara kiasi cha kukiuka makubaliano ya Ikulu kati ya Rais na CDM kwani hali hiyo itapelekea ... MATUKIO AMBAYO HAYATAKUWA NA UHUMIHIMU WOWOTE KUTOKEA!! HAPA !! maamuzi yako mikononi kwa CCM ...Kutosaliti Makubaliano ya ikulu kwa haliyeyeote ile...Kwani ni kweli yalifanyika!!
 
Last edited by a moderator:
Kwa yale yaliyoripotiwa hapa kwenye forum hakuna mahali ambapo walikubaliana Raisi asisaini. Mh. Mnyika alisaini bila kuwa makini, au alisaini kwa uelewa wote na sasa kwa kuona watu hawakuridhika anatoa visingizio. Nadhani tujifunze kuwa nchi imefika hapa (pabaja) kwa viongozi kutia saini kama alivyofanya Mh. Mnyika. Chadema jifunzeni kwa hili.
 
hawara anafanya kazi ya ziada kuvunja ndoa ili yeye aolewe,aiteke nyumba ya mwenzake.
 
unataka kutuaminisha kwamba swala la hii sheria ni swla la hisani ya Kikwete?
kwamba anweza kuamua atakavyo kwasababu he is the president na sisi tunyamaze kwasababu ameamua hivyo?

the bigger issue here is, issue za msingi zizingatiwe..........binafsi najua kwamba hakuna jema linaloweza kutoka

dogo una mawazo mufilisi, alafu kama hujui kingereza toa upupu wako humu...eti na ww ni great thinker, jf imevamiwa.
 
Back
Top Bottom