CHADEMA Yajisimika Iramba..

CHADEMA Yajisimika Iramba..

Ee tuone namna kichaa atakavyoamini ana rungu halafu 2015 akute hata mkwewe hajampigia kura wacha mkewe!atakimbia toka jimboni hadi lumumba kariakoo kwa kinana kwa migulu si mgulu mmoja!
 
Ee tuone namna kichaa atakavyoamini ana rungu halafu 2015 akute hata mkwewe hajampigia kura wacha mkewe!atakimbia toka jimboni hadi lumumba kariakoo kwa kinana kwa miguu si mgulu mmoja!
 
Nawaaaminia sana makamanda wote wanaopiga kazi huko Iramba Dr Kitila Mkumbo, kamanda David Djumbe na Iron Lady Jesca Kishoa.
Tunawaombea afya njema na ulinzi kutoka kwa Mungu atawakinga na hila za yule mwovu Mwigulu anayepanga kutumia vigagula kujaribu kuwatishia maisha baada ya kutambua kuwa hali yake ni nyembamba sana jimboni Iramba Magharibi.
 
Last edited by a moderator:
Mwigulu ajipange vizuri, vinginevyo 2015 atausikia ubunge redioni! Chadema wekeni namba ya Mpesa ili tuwachangie makamanda walioko iramba, hatuwezi endelea shuhudia ndugu zetu wa iramba wakinyanyaswa na walipuaji na wazee wa ndumba!
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo kinatishia kukitokomeza CCM katika jimbo la Iramba Magharibi.CHADEMA kimeanza operesheni kubwa katika jimbo hilo ambapo imefanyika mikutano mfululizo katika Kata za Ndulungu,Kaselya na Kidaru.Chama hicho leo kitashambulia kata ya Mtoa na kuanzia kesho kitawasha moto katika kata za Kiomboi,Ntwike,Shelui,Ndago,Kinampanda,Mgongo na Tulya.Operesheni hiyo kubwa inaongozwa na Makamanda wa CHADEMA ambao ni Dr Kitila Mkumbo,Jesca Kishoa maarufu kama Iron Lady,David Djumbe na Makamanda wengine wa Singida.Kwa hali inavyoonekana Chadema imeiva zaidi jimbo la Iramba Magharibi kuliko jimbo lingine lolote katika mkoa huo.Mamia ya wananchi wanachukua kadi za chama katika kila Kata na matawi yanafunguliwa mfululizo. Pia kuna taarifa baadaye mwaka huu CHADEMA itakuwa na mikutano mfululizo zaidi ya 100 katika Jimbo hilo.

CDM ifanye yote ile, ifanyayo moja ya jambo tu 2015 ni muhimu, kuning'olea huyo kichaa tu! Baaasii!

Mwigulu ni Nduli!
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo kinatishia kukitokomeza CCM katika jimbo la Iramba Magharibi.

CHADEMA kimeanza operesheni kubwa katika jimbo hilo ambapo imefanyika mikutano mfululizo katika Kata za Ndulungu,Kaselya na Kidaru.

Chama hicho leo kitashambulia kata ya Mtoa na kuanzia kesho kitawasha moto katika kata za Kiomboi,Ntwike,Shelui,Ndago,Kinampanda,Mgongo na Tulya.

Operesheni hiyo kubwa inaongozwa na Makamanda wa CHADEMA ambao ni Dr Kitila Mkumbo,Jesca Kishoa maarufu kama Iron Lady,David Djumbe na Makamanda wengine wa Singida.

Kwa hali inavyoonekana Chadema imeiva zaidi jimbo la Iramba Magharibi kuliko jimbo lingine lolote katika mkoa huo.Mamia ya wananchi wanachukua kadi za chama katika kila Kata na matawi yanafunguliwa mfululizo.

Pia kuna taarifa baadaye mwaka huu CHADEMA itakuwa na mikutano mfululizo zaidi ya 100 katika Jimbo hilo.
A good move in the right way!!!!
 
Naamini mwigulu akiondolewa, iramba itapiga hatua.
Jamani kazi ndio imeanza, na iendelee ili savimbi asalimu amri.
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo kinatishia kukitokomeza CCM katika jimbo la Iramba Magharibi.

CHADEMA kimeanza operesheni kubwa katika jimbo hilo ambapo imefanyika mikutano mfululizo katika Kata za Ndulungu,Kaselya na Kidaru.

Chama hicho leo kitashambulia kata ya Mtoa na kuanzia kesho kitawasha moto katika kata za Kiomboi,Ntwike,Shelui,Ndago,Kinampanda,Mgongo na Tulya.

Operesheni hiyo kubwa inaongozwa na Makamanda wa CHADEMA ambao ni Dr Kitila Mkumbo,Jesca Kishoa maarufu kama Iron Lady,David Djumbe na Makamanda wengine wa Singida.

Kwa hali inavyoonekana Chadema imeiva zaidi jimbo la Iramba Magharibi kuliko jimbo lingine lolote katika mkoa huo.Mamia ya wananchi wanachukua kadi za chama katika kila Kata na matawi yanafunguliwa mfululizo.

Pia kuna taarifa baadaye mwaka huu CHADEMA itakuwa na mikutano mfululizo zaidi ya 100 katika Jimbo hilo.

Subirini Gaidi litoke kwenye vikao vya Bunge,mtalipuliwa mfululizo kwenye mikutano yenu
 
Muda Si Mrefu Mtasikia Matuc Kutoka Kwa Hii Miguu Nchenga!
 
Na bado Nchemba na Liccm lake mpaka wakome ubishi na propaganda zao za kipuuzi.Aluta continua...peoplesss power!!
 
Teh teh, huko mjengoni machemba kuna kalika kweli? Maana huenda muda mwingi anawasiliana na waganga wake kule iramba ili waweze kuwaloga makamanda, m4c daima, wanairamba kwanza!
 
Tukiamua kutumia akili zetu na kuweka siasa kando Dr. Mkumbo ni kiongozi na uwezo wa hali ya juu. Kwa watu wa Iramba watakuwa na kazi kubwa sana kama Dr. Mkumbo akiamua kugombea, kwani watakuwa wanashindanisha nuru (Dr. Mkumbo) na giza (Mh. Mwigullu). Vyovyote vile iwavyo kazi inayofanywa na hao makamanda ni ya kutukuka kwani naamini ni katika ule mwendelezo wa kuwafanya watu wajitambue haijalishi hao wananchi watakuja kuongozwa na nani lakini mhimu wajitambue na kuhoji!
 
pole ze komed mwigulu a.k.a kubwa la maadui(boro yung)
 
Nakubalina kauli isemayo kuwa 2015 Iramba itakuwa inashindanisha nuru (Dr. Kitila Mkumbo) na kiza (Gaidi Savimbi, Mwigulu Nchemba CCM) "MWANGA NJOO GIZA LIPATE DISPRIN"
 
Back
Top Bottom