CHADEMA yaizika CCM rasmi Mbeya

CHADEMA yaizika CCM rasmi Mbeya

Kipimo kizuri ni Uchaguzi hii ya kujaza watu imekua kama fashion kwa Chadema,leo Mbowe kasema Chadema inakosa mikakati ndio maana haishiki dola!
Tunajua mnategemea kuiba kura!! This time mtashangaana!Haiwezekani wewe usiwe na washabaki halafu mwisho wa siku ushinde uchaguzi, siasa ni science, msijifanye kama kunakuwaga na nguvu za giza wakat wa uchaguz zinazowafanya mshinde bila kuwa na washabiki/kupigiwa kura,Kimsingi huwa mnaibaga kura!!! This time tutadeal nany squarely!!
 
watu wenyewe wanaonekana wamepigika kinoma na pia si wengi wa kutisha. Kagari kamoja na speaker mbovu mbili tu, tehe tehe tehe tehe.

Ndiyo wamepigwa na CCM ndiyo maana yake. Na kwa sababu hiyo wana alterenative moja tu, vinginevyo watabaki wamepigika daima dumu
 
hongera wana mbeya kwa kuikumbali cdm na singida mwinge mwone mabadiliko.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom