CHADEMA yaizika CCM rasmi Mbeya

CHADEMA yaizika CCM rasmi Mbeya

andrews

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2012
Posts
1,679
Reaction score
152
attachment.php
 
Ndo tunayotaka kuyasikia..piga chini Ccm na makabaila wote tuanze upya kuijenga nchi yetu
 
M4C inatisha jamani, kama itaenda hivi mpaka 2015, CCM wajiandae kisaikolojia na kisystem.
 
Wenzenu wanawabeba kwenye malori nyie mnawatembeza wanawafuata wenyewe. Kweli sauti ya Umma ni sauti ya Mungu. Ndagggafijo CHADEMA yetu, tunawapenda sana
 
watu wenyewe wanaonekana wamepigika kinoma na pia si wengi wa kutisha. Kagari kamoja na speaker mbovu mbili tu, tehe tehe tehe tehe.
 
hamna malori ya kubeba watu ni kutembea tu
 
"Chama Cha msimu" oooh "Chadema Itakufa ndani ya mwaka mmoja"Chama cha wafanya fujo"Chama cha maandamano"Chama cha kikabila"Chama cha kichaga"Chama cha kidini"mwenyekiti wake DJ,Katibu mkuu anachukua wake za watu,Cjui zito nini na nini ooh henche hafai anaua chama,Ila mwisho wake?"Mchaka mchaka chinjaa,alesele aleja" Raha mpaka Kumtima wange
 
watu wenyewe wanaonekana wamepigika kinoma na pia si wengi wa kutisha. Kagari kamoja na speaker mbovu mbili tu, tehe tehe tehe tehe.

ukombozi wa kweli na mapinduzi ni kwa waliopigika! uliona wapi mwenye afya akahitaji tabibu? hukusoma ktk vitabu vya historia? pote duniani walioanzisha harakati za kimapinduzi ni tabaka la watu waliopigika! nyie mnaojiona mmeshiba na hivyo viliba tumbo wakati unakuja mtalia tu!
 
Lah! Viva! Chadema! Viva Chadema! Viva M4C!
Tulianza na mungu na tutamaliza na mungu
 
ukombozi wa kweli na mapinduzi ni kwa waliopigika! uliona wapi mwenye afya akahitaji tabibu? hukusoma ktk vitabu vya historia? pote duniani walioanzisha harakati za kimapinduzi ni tabaka la watu waliopigika! nyie mnaojiona mmeshiba na hivyo viliba tumbo wakati unakuja mtalia tu!

HAta kenya enzi za MAUMAU( Mwingereza Arudi Ulaya Mwafrika Apate Uhuru) wapo wasaliti waliokuwa vibaraka wa wakoloni; na kama hivi leo wapo wanajiita wafuati watiifu wa mkoloni mweusi ccm nao watauona ukombozi wa kweli wakiwa bado vibaraka!!

 
Tusubiri Mabadiliko, ni vizuri tukaangalia na upande wa pili wa sarafu una nini....
 
watu wenyewe wanaonekana wamepigika kinoma na pia si wengi wa kutisha. Kagari kamoja na speaker mbovu mbili tu, tehe tehe tehe tehe.

Ok wanaonekana wamepigika, nani aliwafanya waonekane hivyo, jitahidi kuwa na mawazo chanya ndugu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom