Kamanda ulikuwa umelala hii habari mbona ipo toka jana humu JF au nyie pro-Chadema mkiona jina la Zitto ni kukimbilia JF kuanzisha uzi wewe mtu wa kumi leo kuleta hii habari.
Kamanda ulikuwa umelala hii habari mbona ipo toka jana humu JF au nyie pro-Chadema mkiona jina la Zitto ni kukimbilia JF kuanzisha uzi wewe mtu wa kumi leo kuleta hii habari.
Chadema Chama Makini Kuwahi tokea Afrka Mashariki.
Wasaliti wenzake amewaona huko Ukrine, Korea, China Na South Africa ataona hivi karibuni. Zitto has picked so early
Suala la Uanachama na Uongozi vilikuwa ni separate issues. Kila kimoja kilipaswa kijadiliwe kwa muktadha wake!.
Mpaka hivi sasa Zitto Kabwe ni mwanachama halali wa Chadema
Anakata rufaa kwa sababu ya Kuvuliwa uongozi wake, Then Mwingine aakuja anasema No No No, Subiri kwanza tuone kama utavuliwa uanachama au La!!- SIJAWAHI KUONA CHAMA AMBACHO KILA MTU ANAJITAFSIRIA KATIBA APENDAVYO!
Sijui Kimesera ametumia kifungu gani cha sheria/katiba ya Chama kuzuia Mchakato huru wa Rufaa
Suala la Uanachama na Uongozi vilikuwa ni separate issues. Kila kimoja kilipaswa kijadiliwe kwa muktadha wake!.
Mpaka hivi sasa Zitto Kabwe ni mwanachama halali wa Chadema
Anakata rufaa kwa sababu ya Kuvuliwa uongozi wake, Then Mwingine aakuja anasema No No No, Subiri kwanza tuone kama utavuliwa uanachama au La!!- SIJAWAHI KUONA CHAMA AMBACHO KILA MTU ANAJITAFSIRIA KATIBA APENDAVYO!
Sijui Kimesera ametumia kifungu gani cha sheria/katiba ya Chama kuzuia Mchakato huru wa Rufaa
yote hery tu watajuta kumjua zito.
Mkuu,
Ndani ya Chadema HAKUNA uongozi wenye kutaka kujua mawazo ya wanachama.
Katika fikra za uongozi wa chadema mwanachama akija na opinion wanampa jibu hili:
View attachment 127768
mfano wa picha uliyo attach ni irrelevant na mada husika.after all hili sio jukwaa la mambo ya kikubwa.u have positioned ur ass in a good angle of being hit with a ban.usipo kumbana na ban nitachukulia mods wamelala.teh teh teh.nasikia raha.
chadema has gone to hell
chadema are niggas, ony mafia can survive there
Suala la Uanachama na Uongozi vilikuwa ni separate issues. Kila kimoja kilipaswa kijadiliwe kwa muktadha wake!.
Mpaka hivi sasa Zitto Kabwe ni mwanachama halali wa Chadema
Anakata rufaa kwa sababu ya Kuvuliwa uongozi wake, Then Mwingine aakuja anasema No No No, Subiri kwanza tuone kama utavuliwa uanachama au La!!- SIJAWAHI KUONA CHAMA AMBACHO KILA MTU ANAJITAFSIRIA KATIBA APENDAVYO!
Sijui Kimesera ametumia kifungu gani cha sheria/katiba ya Chama kuzuia Mchakato huru wa Rufaa
Nimeshasema zitto ww ni muha unatoka kigoma,hiki chama ni cha mtei wa kazkazini na mchaga yaani ukurupuke tu unataka uenyekiti ahh ndoto za mchana unaota kijana chadema ni chaga development manifesto sasa muha na mchaga wapi na wapi ni lazima tukufukuze hata ukisema hutoki utaona yaani sie tuwekeE tukikopeshe chama ww uptake uenyekiti tena ukome
Ukiona hivyo ujue hakuna chama hapo kuna wajanja wajanja wengi waliounda chama chao kikaitwa chama cha siasa.:cool2:
Nimeshasema zitto ww ni muha unatoka kigoma,hiki chama ni cha mtei wa kazkazini na mchaga yaani ukurupuke tu unataka uenyekiti ahh ndoto za mchana unaota kijana chadema ni chaga development manifesto sasa muha na mchaga wapi na wapi ni lazima tukufukuze hata ukisema hutoki utaona yaani sie tuwekeE tukikopeshe chama ww uptake uenyekiti tena ukome
Kaka si unajua tena mkuu wa chama nae elimu ni ndogo then awaongoze watu wenye shahada zao sijawahi ona duniani.Babu yetu nae ameshikwa masikio mpaka hurma.
Mkuu,
Ndani ya Chadema HAKUNA uongozi wenye kutaka kujua mawazo ya wanachama.
Katika fikra za uongozi wa chadema mwanachama akija na opinion wanampa jibu hili:
View attachment 127768