mbinu ya mwanjala niliifahamu tangu alipogombea uongozi wa soka , kyela inasubiri mbunge wa cdm , ni kiasi cha kujipanga na kumleta mtu anayekubalika .
Safi sana!!! Vipi Mwaya mmefika, hasa Ndughombo (Lughombo)?
Kwa Mama yangu ni Ikimba na diwani wa pale ni mjomba wangu Haleluya!Ni kata rahisi sana hiyo kuichukua maana mjomba hamna kitu alichokifanya pale!Kata ingine ya bure ni Ipinda;Kajunjumele na Matema!
ni wakati sasa wa vijana wa kyela kujitokeza kugombea nafasi za ubunge na udiwani kupitia cdm , maana cdm ina msingi imara sana pale , acheni uoga njooni tuwakomboe wazazi wetu .
Kwanza tuchukue ile Halmashauri kukimbiza hawa CCM mchwa wanaokula tu pesa zetu bila kufanya kazi!
Je CHADEMA ina vijana wa kutosha kwenye udiwani kw kila kata?Maana Kyela CCM ni kwa heri lkn Je CHADEMA vijana wasomi kuchukua kata zote wapo?
Halafu ukijengwa msingi inakuwaje nyie malofa- CCm ikija ikaweka Tawi kwa sababu msingi tayari mtalaumu ? Maana hakuna wa kuendeleza hata msingi- maskini ukawa sori adm. Aaaaahaaaahaaaaaaaa:A S-eek::hail: CCM aja sepa ww:llama:
Inawezekana Kyela unaisikia tu. Usilinganishe na kwenu Kondoa ambako Elimu ni anasa.
kyela wanatisha mbaya mwenyewe nimeshangaa kuona matawi yapo mpaka sehem ambazo sikuzitegemea Asante kyela
kamanda nakukubali sana !
Mkuu!
Lughombo ndiyo kwa baba!Karibu sana na kilabu cha pombe za kienyeji cha Ngomelako ukoo wa Mwambalaswa!Mwaya kuzuri sana
Mara mwisho maccm kufanya mkutano kyela mjini ni lini vile?Chadema subirini CCM tuingie kazini maneno yenu hayo hayatakuwepo mtashika midomo wazi. Tatizo nyie Chadema kazi yenu ni kuropokaropoka tu lakini tukiingia vitani mnapigwa bao.Watanzania hawapo tayari kuwapa nchi,jimbo,kata,kijiji wala kitongoji wahuni Chadema.
Ngonga tumeiva tunasubiri 2015 tupeleke halmashauri diwani Wa cdm
Hahahahahahaaa wakwetu nimesoma mota .utachukua kata IPI au ndo kimyakimya kansa style Sawa mkuu pamoja sana kuangamiza migambandomyana usikonde , style tunayoitumia kuimaliza ccm kyela inaitwa , ' CANCER STYLE ' HATUPIGI KELELE SANA , WAO NDIO WATALALAMIKA , nimesoma shule ya msingi NSASA , hivyo NGONGA , KATUMBASONGWE , IKOLO KABANGA , ISAKI MPAKA KALONGA MALAWI NATAMBA , NINA MASHAMBA BORDER , HIVYO NAPATIKANA PIA KATA YA IKIMBA , HAWATOKI NAKUAMBIA .
mwambie huyo kua umesahau 5-0 ya arusha kwikwikwiiiiiiiimtakutana kwenye sanduku la kura.
isije ikawa kama yale ya chalinze, kalenga na kata3 chopa3. be careful.
Mbeya mjini asahau kabisa APA Luna mbunge rais Wa kudumu suuuuguuDr Mwakyembe hata kura za maoni ndani ya CCM hawezi kupita ingawa sasa wamekubaliana na mjomba wake Elias Mwanjala waachiane jimbo ili Mwanjala akagombee Mbeya mjini!