Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,043
- 282,478
Misingi ya cdm yamwagwa kama njugu , tena ni mpaka vijijini kabisa , ubovu wa barabara za ndani , kuanguka kwa soko la mpunga kumerahisisha sana kuing'oa ccm .
Siyo Kyela tu ni Tanzania nzima ndio tunashika kasi kuingia Magogoni nafikiri umejionea chaguzi za ustarabu na uwazi
Misingi ya cdm yamwagwa kama njugu , tena ni mpaka vijijini kabisa , ubovu wa barabara za ndani , kuanguka kwa soko la mpunga kumerahisisha sana kuing'oa ccm .
kata yaVP pale Ngonga mmefika
Book 7 wahi huku la sivyo leo mtakuwa hamlipwi, shauri yenu.
CC: Msalani, Lizaboni, Rutashobolwa, GSU, Simiyu yetu, Faiza Foxy
safi kabisa,kwa pamoja tutalikomboa taifa letu!
huo unaouona hapo ni MSINGI WA CDM NJIA PANDA YA KWENDA MASHINE ZA KUSAGA MPUNGA KALUMBULU .
hao wapiga kelele wa kariakoo tu , ya vijijini hawayajui kabisa .
kata ya
ngonga ina wakazi wasomi sana ni tegemeo la cdm , tumeiweka kwenye ratiba next time , which is about to come , stay tuned .
Kweli mkuu,tumeshuhudia chaguzi safi zisizo na harufu ya rushwa.Hakika CDM ni chama cha mfano Africa.
wako wapi LB7?