chadema mbona mmeshindwa kyela?
Matokeo ya kyela nimeyatoa sehemu
Matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wilayani Kyela.Jumla ya Vijiji ni 90,CCM wamepata 79 na CHADEMA 11.Jumla ya Vitongoji ni 401,CCM wamepata 310 na CHADEMA 84 Vitongoji 5 bado kufanyika Uchaguzi.
Tuliwatahadharisha mapema sana lakini walitupuuza , asante Mungu kwa wema wako.
VP pale Ngonga mmefika
Haya mazimwi usiyakumbuke ni kama ukoma! Huwa yanabisha hata majina yao pia hayajielewi,ni misukule ya Lumumba.Book 7 wahi huku la sivyo leo mtakuwa hamlipwi, shauri yenu.
CC: Msalani, Lizaboni, Rutashobolwa, GSU, Simiyu yetu, Faiza Foxy
Hao hawasikii ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa ukidhani unamburudisha.
View attachment 211729
Dawa yao ni nyundo tuu! Hapo ndio watakuelewa.
View attachment 211730