MWANAKASULU
Senior Member
- Nov 18, 2011
- 198
- 72
Yawezekana wamezomewa kama jana kigoma halafu mnaanza kupotosha semeni ukweli.
aise Nakushauri uende Milembe.Maana kila unachoandika kila fanana kwa kila post unayochangia. Nakwambia mwaka huu Presha ni yako. Kwa ufupi jana au leo marudio ya asbh umeangalia Taarifa ya channel Ten? Ukaona Maandamano ya chadema Kigoma mjini yalivyowapokea Makamanda waliotua na chopa????? Kila kitu unatoa reference feki eti Kigoma walizomea. Acha upuuzi. Kigoma ni nyumbani ww kama unapigiwa simu pole ila mm hapa sichakachuliwa kwani niko live nyumbani hapa.