Chadema yaiteka Ngara kwa kishindo

Chadema yaiteka Ngara kwa kishindo

JF- KYOMA

Member
Joined
Jan 14, 2014
Posts
79
Reaction score
42
Kamanda Mbowe aliongoza msafara wa viongozi akiwa kamanda wa nchi kavu baada ya Kamanda Lema na Mnyika akiongoza msafara wa hanga ambao kwa jana ngara nzima ilizizima kwani uwanja wa posta ya zamani ulijaa na kutema maelfu ya watanzania wanao unga mkono chadema mpaka mwisho wa mkutano watanzania hao waliwasindikiza viongozi mpaka Hotel ya Amaholo kwa kidedea kikali na maandamano makubwa sana na ya aina yake
 
CCM tunasubili tu mazishi 2015. Kwisha habari yao.
 
Yawezekana wamezomewa kama jana kigoma halafu mnaanza kupotosha semeni ukweli.
 
huko ngara ndo Mbowe alitoa kafara kwa kumgonga mwendesha bodaboda?
 
Mkutano wa kigoma ulifana sana jana, ulionyeshwa ITV ........ wewe ndiyo unayepotosha humu

tumewashtukia ITV. Wanaweka vipande vya picha ya mikutano ya kampeni ya mwaka 2010
 
Sio lazima uamini wewe... Waliohudhuria ndio wa muhimu kupokea ujumbe
 
.
ninachoweza kusema. kwa wana ngara waendeleeze kukaza uzi sio jamaa wa ccm waje wawapikie wali maharage arafu wasahau maneno mazuri waliopewa kutoka kwa makamanda wetu. wanalalamikia kuuzwa kwa eneo la msitu. wakilewa wali maharage tu. zitauzwa mpaka nyumba zap.
 
Back
Top Bottom