baharia Ar
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 837
- 316
This time watatafutanaa
Hao wajinga wamekubali kadi zao zichomwe na wahuni, ilhali Mzee Slaa ya kwake ameihifadhi sandukuni.Ipigie Kura ya ndiyo katiba pendekezwa ... APRIL2015.
Hii mbinu imeshindwa kabla ya kuanzaMbinu ya mwisho ya CCM ni kuanzisha vyama vibaraka vinavyopewa ruzuku na CCM ili kudhoofisha nguvu ya Ukawa.Nawahakikishia hata mbinu hii watashindwa tu.
Excellent! We are in North of the country and chadema is doing well... God's willing in October we will be declared winners in many constituencies.
Hatusikii cha usaliti wala propaganda chafu na mipango ya kuhujumu uchaguzi. Tunasongambele no matter what!
Hao wajinga wamekubali kadi zao zichomwe na wahuni, ilhali Mzee Slaa ya kwake ameihifadhi sandukuni.
mjinga ni wewe!wenzio wametambua kuwa haiwezekani leo hii mgonjwa akalazwa hospital ya mkoa kama Mwanza-SEKOU TOURE alafu akakosa hata panadol na bomba la sindano badala yake anaandikiwa na doctor kwenda kununua nje(duka la dawa) na huku serikali inayotokana na chama chako ccm ikikusanya kodi kila mwaka na kodi hizo zikiishia mifukoni mwa wachache ndani ya hicho chama cha mbogomboga alafu unawashangaa waliorudisha makadi hayo,hakika wewe hamnamo kitu!
Chadema imefanya operesheni kubwa mkoani Tabora jimbo la Bukene, ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita bwana Afphonce Mawazo.
Katika operesheni hiyo Wanavijiji 267 Wamerudisha kadi za CCM na kuchukua kadi za chadema.
Akizungumzia kazi hiyo Kamanda mawazo alisema "Kazi ya Mungu inaendelea Jimboni Bukene,hapa ni Vijijini sana na mababu na mabibi wamesema yatosha''.
![]()
![]()
Kadi za CCM zilizorudishwa zilichomwa moto hapo hapo...Nilikuwa sitaki kuweka hii picha ila Kuna Matomaso huwa hawaamini bila picha
![]()
CDM jeshi kubwa, maccm na vibaraka vyao watatafutana mwaka huu.
Nimeshasema Kadi zilichomwa moto....Picha angalia juu...Utomaso sio Tabia nzuri...
Unajua Kuna watu wengine hata kama wanakata roho huwa wanajifanya kama hawaelewi....Hiyo ndio CCM..
Hadi kijijini Wamefahamu Kuwa Chadema ndio Mkombozi wao
Umevurugwa.Mbona huonyeshi hizo Kadi za CCM zilizo rudishwa??? Acha uongo