Nagonga like mwaka huu lazma tumbo la kuhara liwapate magamba na Wasaliti wote wa ACT
Vibaraka wa CCM wataisoma namba mwaka huu.
Nagonga like mwaka huu lazma tumbo la kuhara liwapate magamba na Wasaliti wote wa ACT
Mbona kama hawaelewi walichopewa
Waambie mkuu, maana wanatuona wote kama wao, misukule.
Point of correction:
Jimbo la Bukene liko kwenye Mkoa wa Tabora wilaya ya Nzega. Vinginevyo labda ubadilishe heading!
Otherwise hongera sana Makamanda wa CHADEMA.
Point of correction:
Jimbo la Bukene liko kwenye Mkoa wa Tabora wilaya ya Nzega. Vinginevyo labda ubadilishe heading!
Otherwise hongera sana Makamanda wa CHADEMA.
Asante sana mkuu Standalone kwa taarifa.
Marekebisho kidogo tu ni kwamba jimbo la Bukene liko mkoani TABORA na Mbunge wake ndio yule Seleman Zedi.
Mbona huonyeshi hizo Kadi za CCM zilizo rudishwa??? Acha uongo
Mbona kama vile hawawaelewi? Mmewashikisha ili muwapige picha!
Ccm vikundi vikundi,CHADEMA kampen ni kila MTU.