CHADEMA yaigaragaza CCM Vunjo

CHADEMA yaigaragaza CCM Vunjo

Naenda kijiji cha mpata jimboni kwa mwandosya mwakani nimeamua kuchakaza magamba
 
Naona sasa CHADEMA inatwanga kote kote, mijini na vijijini.
Hongereni CHADEMA!!!
 
Hongereni sana inatia moyo. Watashindanaaaaa.....................................
 
CHADEMA imeshinda kwa kishindo uchaguzi wa serikali ya kijiji cha Kilema Chini jimbo la Vunjo mkoani kilimanjaro.

Usemi wa Mjinga akijitambua Mwerevu upo matatani umeendelea kushika kasi ya ajabu.

peopleeeeezzz!!!!!

More Updates:
katika uchaguzi huo chadema ilishinda kwa kura 120, ccm kura 63 na tlp iliambulia kura 50
:nono:
Jakaya-Kikwete-na.jpg
:nono:
I trust you young guys all the time,
how come we loose ballots?


images
Whatsgoing on?
images


Looks like we are in wrong direction! :ranger: How can we pull back Chadema?
😛layball: Mhh! Hard Ball! 😛layball:​
 
Kwa jimbo la vunjo ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko ccm kushinda..!
Kule kuna wachaga wenye akili... Kila mmoja ana Radio.. Wanajua matendo mabaya... Hawadanganyiki...
 
CCM + TLP aren't equal to CDM. lakini hawa wanakijiji hawafahamu kwamaba kina Shonza na Mtella washaa ondoka CDM au ni mafuriko ya "gundu" kwa CCM?
 
Huu ndio mwaka wa ukombozi kama alivyosema Dr Wilbroad Slaa.Peoples Power
 
hahaaaaaaaa........ kiongozi naona umeamua kumwakilisha Nape!!!

Mungi
Nilikuwa bado nalisanifisha bandiko langu, hapa ndio nimekamilisha kilichokuwa kichwani mwangu


:nono:
Jakaya-Kikwete-na.jpg
:nono:
I trust you young guys all the time,
how come we loose ballots?


images
Whatsgoing on?
images


Looks like we are in wrong direction! :ranger: How can we pull back Chadema?
😛layball: Mhh! Hard Ball! 😛layball:

CC, nngu007
 
Back
Top Bottom